Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,562
Habari zenu wakuu,
Poleni na Hongereni kwa kutumikia Taifa kupitia nyanja tofauti tofauti kuanzia wakulima, wafugaji, mafundi, wafanyabiashara na watumishi wa umma.
Baada ya salam naomba niende kwenye lengo la kuandika maneno yote haya.
Kuanzia mwaka 2015 mpaka sasa 2022 hakuna zile Annual increments Kwa watumishi wa serikali,
Ongezeko hilo lipo kwa mujibu wa sheria na serikali haikuweza kutekeleza hilo Kwa miaka 7 sasa licha ya kuwa ni utaratibu uliopo kikanuni.
Ni asilimia ngapi ya kiwango cha mshahara ambacho kikiongezwa kinakuwa kimefidia miaka yote ambayo annual increment haikuweza kuongezwa kwa watumishi?
Asanteni sana na karibuni.
Poleni na Hongereni kwa kutumikia Taifa kupitia nyanja tofauti tofauti kuanzia wakulima, wafugaji, mafundi, wafanyabiashara na watumishi wa umma.
Baada ya salam naomba niende kwenye lengo la kuandika maneno yote haya.
Kuanzia mwaka 2015 mpaka sasa 2022 hakuna zile Annual increments Kwa watumishi wa serikali,
Ongezeko hilo lipo kwa mujibu wa sheria na serikali haikuweza kutekeleza hilo Kwa miaka 7 sasa licha ya kuwa ni utaratibu uliopo kikanuni.
Ni asilimia ngapi ya kiwango cha mshahara ambacho kikiongezwa kinakuwa kimefidia miaka yote ambayo annual increment haikuweza kuongezwa kwa watumishi?
Asanteni sana na karibuni.
