HahahaHao jamaa ukisikia maneno yao unajiona tayali umefanikiwa kwa ground Sasa ndo utagundua kwamba mafanikio sio Kama kilimo Cha online
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app


kwamba unafanikiwa onlineHahaha, inspirational speakers wa mbususu?Mbona ht humu wapo,
wakiamka tu utaskia MBUSUSU hivi MBUSUSU vile.



@mzabzabMbona ht humu wapo,
wakiamka tu utaskia MBUSUSU hivi MBUSUSU vile.





Huenda wanatumia fursa iyo kupata au kuwa karibu na watu wenye fursaWao wenyewe hawaja tajirika, hata wale waliotajirika kama Jack Ma, mwanzilishi wa Albaba ameteseka Sana kupata utajiri wake, akifiriki kila njia aliotumia yeye akitumia mwingine atafanikiwa![]()