Inamaanisha mtaani kwenu siku inawezwa kusukumwa kwa kipato cha chini.yaani mnaishi kwa daily consumption yenu ni subsistence levelWakuu wasalaam.
Jamani kumekua na ongezeko la shilingi 100, 200, na 500 huku mtaani, hii inamaanisha nini kiuchumi? Naomben kujuzwa tafadhari
Kweli we msomi yaan umejibu kisomi hivohivoInamaanisha mtaani kwenu siku inawezwa kusukumwa kwa kipato cha chini.yaani mnaishi kwa daily consumption yenu ni subsistence level
Kwamba hela kubwa hazizunguki....tumebaki kuzungusjiana 200 na 500 kama makonda wa daladal.