Naomba kuuliza tu mkuu;
Kwa sababu? Ukimwona huko rodini au chumbani kwako. Huwa unawatoa nguo na kuwapigisha paredi au? Akichujua nguo hupendeza tu ka unajua kazi ya shanga, wallah utafurahi sana.
Ila ka nikimuona ameanika hivyo rodini, hata miye simchukui kwangu. Labda usiku nim do niishie zangu. Usimwite "jitu" anawafaa wengine