Naona kila mtu atasema la kwake;nafikiri tuende kivitendo zaidi ndiyo tulete maneno.Kwasababu tutakuwa tumepata ushahidi wa kitu gani tunakisema.Hivyo basi,kama kuna mwanadada ambaye yuko tayari ninaomba ani-PM ili nishirikiane nae katika kufanya huo utafiti;halafu tupate majibu sahihi.