Ila moko ni shida sema stereo naye yumomoko wa miujiza, thogh sterio anajua muziki wa biashara zaidi..
Kaka ngoma gani iyo niipakue...Unapovunjwa Moyo Unaujenga Tena ... na Usiweke Chuki iache iondoke na iende Vyema... - One. Huyu jamaa mkali.
Kweli kaka jamaa ana flow unique sana hasa kwny ngoma ya pure number kaflow vzur sanaSijui kwani nini one incredible siyo tajiri, ukiongelea kumlow hakuna wakupambana nae jamaa ni hatari sana
milele ntasimama nikidondosha Fasihii ......Unapovunjwa Moyo Unaujenga Tena ... na Usiweke Chuki iache iondoke na iende Vyema... - One. Huyu jamaa mkali.
KivyovyoteKaka ngoma gani iyo niipakue
!kasikilize singeli hii ni Intelligent movement!Ndo kina nani hao?madiwan au wacheza soka?
Ngoma inaitwa SisiKasikilize ngoma yao mpya wamemshirikisha Zizi,
BORA CHANGUDOA MMOJA KULIKO EIGHT GAYS-stereo... hhaahahah
Nikki anakwambia
MASHOGA HAMSINI/ RIJALI MMOJA OMARY MARTIN...