Tzhacker 000
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 659
- 690
MAHITAJI MUHIMU
1. compyuter yako
2 uelewa wak0
HATUA ZA KUFUATA (muhimu)
1.fungua windows CMD yako ... nenda START kisha search CMD
2. baada ya hapo CMD kufunguka .. unachotakiwa kufanya hapo ni kuchagua disk yenye virus ambayo unataka kuitoa .
MFANO disk yangu labda ni E
sasa kwenye windows CMD type hii code attrib -s -h /s /d *.*
3. baaada ya hapo type hii code ili uweze kuona data zote zilizopo kwenye disk ambayo unataka kutoa virus.
hapohapo kwenye CMD type dir kisha piga ENTER Itakuja hivi
4. ukishaweza fanya hivo hatua inayofuata ni kutazama file lolote la ajabu ambalo mara nyingi huanza na name kisha .exe
na kama pia ukakuta autorun.inf liandike kwa mfumo huuu
(rename filename.extension newfilename)
mfano unaweza rename kama hivi rename autorun.inf aaa
5. mpaka hapo utakuwa unauwezo wa kuingia katika drive bila kudhuru kitu chochote
cha kufanya nenda my compyuta ingia kwenye drive ambayo umeifanyia hii kitu kafute files zote ambazo utaziona za ajabu AU KAMA UNAONA NI KAZI WINDOWS CMD INAWEZA KUKUSAIDIA KUSAFISHA WEKA HII CODE
del filename kisha press ENTER
AU
kaama hutaki fanya manual baada ya STEP 4 nenda my compyuta kwenye disk uliofanyia hii process kisha kafute file uliloliandika kwenye STEP 4 ( tuliliandika aa) utalidelete hilo file na pc yako itakuwa salama .
ahsanteniiiiiiii
1. compyuter yako
2 uelewa wak0
HATUA ZA KUFUATA (muhimu)
1.fungua windows CMD yako ... nenda START kisha search CMD
2. baada ya hapo CMD kufunguka .. unachotakiwa kufanya hapo ni kuchagua disk yenye virus ambayo unataka kuitoa .
MFANO disk yangu labda ni E
sasa kwenye windows CMD type hii code attrib -s -h /s /d *.*
3. baaada ya hapo type hii code ili uweze kuona data zote zilizopo kwenye disk ambayo unataka kutoa virus.
hapohapo kwenye CMD type dir kisha piga ENTER Itakuja hivi
4. ukishaweza fanya hivo hatua inayofuata ni kutazama file lolote la ajabu ambalo mara nyingi huanza na name kisha .exe
na kama pia ukakuta autorun.inf liandike kwa mfumo huuu
(rename filename.extension newfilename)
mfano unaweza rename kama hivi rename autorun.inf aaa
5. mpaka hapo utakuwa unauwezo wa kuingia katika drive bila kudhuru kitu chochote
cha kufanya nenda my compyuta ingia kwenye drive ambayo umeifanyia hii kitu kafute files zote ambazo utaziona za ajabu AU KAMA UNAONA NI KAZI WINDOWS CMD INAWEZA KUKUSAIDIA KUSAFISHA WEKA HII CODE
del filename kisha press ENTER
AU
kaama hutaki fanya manual baada ya STEP 4 nenda my compyuta kwenye disk uliofanyia hii process kisha kafute file uliloliandika kwenye STEP 4 ( tuliliandika aa) utalidelete hilo file na pc yako itakuwa salama .
ahsanteniiiiiiii