Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,662
Mkuu kuna watu hapa utaumiza akili na kila kitu wanavuga wanafahamu kumbe hata kutembea hawajatembea. Kipindi sijasafiri na kuja huku niliko kwa sasa (kimatembezi) nilikuwa natembelea Kampala ambapo Wanywaranda wapo kibao japo kuna kabila la Wanyankore (analotoka Mseveni),hawana noma kabisa wala malingo na wanaheshimu watu pia mama yangu ni mwenyeji wa Biharamulo (Msubi) huko ndiko unaweza kujifunza ukarimu wao,ukiomba maji unapewa maziwa. Karibu Durban kwa leoRais huyo moja Paul Kagame ambaye amekaa madarakani kwa muda mrefu ameweza kusimamia economic goals walizojiwekea. Kwenye afya na elimu Rwanda wapo vizuri kuliko sisi. Wanaheshimu professions za wanyarwanda wote walio kila kona ya dunia hii. Wapo watanzania wanaofanyiwa fitina ili wasiweze kufanya mambo makubwa kwa nchi yao!. Rwanda hawanyimani nafasi za kutumia vipaji vyao kwa faida ya nchi yao, mtanzania akiwa na uwezo wa kufanya kitu kwa ufasaha, atatazamwa kwa jicho baya la kumtakia kushindwa ili aonekane hajui lolote.
Nashukuru sana kwa mawazo yako, umeongelea tatizo la kutosafiri, tatizo la kufikiria kwamba kile kitu ambacho mtu anakifahamu ndio kila kitu. Opinions za watanzania wengi ni sheria, kwani kwa mawazo yao zinapaswa kusikilizwa na kufanyiwa kazi. Asante kaka kwa picha nzuriMkuu kuna watu hapa utaumiza akili na kila kitu wanavuga wanafahamu kumbe hata kutembea hawajatembea. Kipindi sijasafiri na kuja huku niliko kwa sasa (kimatembezi) nilikuwa natembelea Kampala ambapo Wanywaranda wapo kibao japo kuna kabila la Wanyankore (analotoka Mseveni),hawana noma kabisa wala malingo na wanaheshimu watu. Karibu Durban kwa leoView attachment 322121
Pengine ufananishe Rwanda na Mkoa wa Kigoma. Serikali ya Rwanda inanuka damu na dhuluma kwa wahutu iliyowaua na kwa madini wanayoyiba huko DRC.
Kabisaa baba mzuri ni yule anayethamini familia yake sio yule anayetesa na kuilaza njaa familia yake wakati ana Mali nyingini bora yule anayeenda kuiba kwa ajiri ya watu wake kuliko hawa ambao wanacho lakin wanagawa bwelele kwa wazungu
Bitter of what?Judging by the comments hapa, Watanzania ni watu bitter sana
Rwanda wanajua madhara ya siasa za uhasama, hawataki kabisa kusikia mawazo ya kipumbavu kuhusu huyu ni mtutsi na huyu ni mhutu. Damu iliyomwagika mwaka 1994 na hata kabla ya hapo ni nyingi na huwa inawakumbusha umuhimu wa amani. Paul Kagame is a genious. Kaitumia CHAN katika kuitangaza Rwanda kimataifa. Kavitumia viwanja vinne kuandaa mashindano makubwa kabisa barani Afrika. Sisi tuna viwanja vinavyoendelea kuzeeka kama viwanda ambavyo vilitaifishwa enzi za Mkapa. Kagame anayo bahati kwamba wanyarwanda sio watu biased kama sisi Watanzania, wanyarwanda wanajenga akili za kimaendeleo, sisi tunajenga akili za kipumbavu za kutazamana kisiasa, yule mwanaCCM huyu mwana CHADEMA.
Rwanda ya miaka 10 ijayo itakuwa mbali zaidi yetu, lakini Rais Magufuli anao uwezo wa kuanza kuifanya Tanzania iwe katika spirit ya kuikimbiza Rwanda. Na alipokaa madarakani kwa siku chache tayari balozi wa Rwanda akaenda Ikulu kuongea biashara za kimataifa. Paul Kagame mtu mwenye progressive mentality, nasikia alimwambia rais wa awamu ya nne nipe bandari ya Dar nikuendeshee nchi yako. Afrika inahitaji viongozi wenye kuweza kuthubutu.
Nilibahatika kuwaona wakimbizi wa afrika ya kusini enzi zile za Mwalimu Nyerere wakiishi kwa amani hapa Dar. Kila Ijumaa walikuwa wana matamasha yao pale IFM, ninafahamu sana ukarimu wetu. Ninachokipinga ni ile dhana potofu wa kumshambulia Kagame kana kwamba sisi ni wasafi sana. Tanzania ya sasa licha ya kuwakarimu wageni, imejaa mambo mengi ya kishenzi tu, likiwemo suala la ukatili kwa walemavu wa ngozi.
Sema wanaheshimu watutsi walio kila kona ya dunia hii. Ndio maana wamejazana kwenye uongozi katika nchi ambayo wao ni watu wawili kati ya 10! Pili takwimu za Rwanda ni za kupikwa, ndio maana huoni watanzania wanahamia Rwanda kiharamu kufuata hizo elimu na afya ambazo supposedly mmetupita. Badala yake hapa bongo mpaka madada poa toka Rwanda wanakuja kutafuta soko kwa vile huko kwenu uchumi mbovu, hamuwezi kumudu hata gharama za nanihii...Rais huyo moja Paul Kagame ambaye amekaa madarakani kwa muda mrefu ameweza kusimamia economic goals walizojiwekea. Kwenye afya na elimu Rwanda wapo vizuri kuliko sisi. Wanaheshimu professions za wanyarwanda wote walio kila kona ya dunia hii. Wapo watanzania wanaofanyiwa fitina ili wasiweze kufanya mambo makubwa kwa nchi yao!. Rwanda hawanyimani nafasi za kutumia vipaji vyao kwa faida ya nchi yao, mtanzania akiwa na uwezo wa kufanya kitu kwa ufasaha, atatazamwa kwa jicho baya la kumtakia kushindwa ili aonekane hajui lolote.
Na wanyarwanda (hawa watusi -extremists) ni wapumbavu sana!Judging by the comments hapa, Watanzania ni watu bitter sana
Zile radio za rwanda ambazo zilichochea mauaji mbona huziongelei?. Watutsi mamilioni waliouliwa kinyama na miili yao ikawa inaeleka katika mto Kagera nao umewasahau?. Nimemuongelea Kagame katika angle ya economic reforms alizozisimamia kwa umahiri mkubwa. Na sio kweli kwamba Kagame ameyakuta maendeleo, amefanya kazi kubwa ya kuweka masuala ya kisiasa pembeni na kufanya kazi za kiuchumi kwa faida ya wote. Kaka ukubali wala usikubali there is something wrong with our mentality, inategemea na uwezo wako wa kuyaona mambo. Ninayeongea na wewe sio mtutsi ni Mtanzania ambaye mzazi wake alifanya kazi serikalini tangu 1962 kafanya mengi sana, marehemu Mama yangu ni mmoja wa walimu wa kwanza wa shule ya msingi mzimuni pale magomeni, alikuwa pale mwaka 1965. Nimekulia Dar tangu utoto wangu miaka ya 70 mwishoni. Jaribu kuelewa concept ya mtu kabla hujaanza kutoka mapovu kwa hasira. Mimi ni mtanzania kama wewe najaribu kujenga hoja, zielewe hoja kwa undani, usitangulize vitisho, najenga hoja, zitafakari na zijibu. Mimi ni mtanzania mwenye kujivunia utanzania kama wewe.Umejitahidi sana lakini bado huwezi kudanganya watanzania wanaojua mbinu zenu.
1. Huyo genius wako (sio genious 😛) ndio aliyeanzisha vita mwaka 1990 mpaka 1994, huyo genius wako ndio aliyeua majority ya hao waliokufa 1994, huyo genius wako ndio aliyechinja maelfu ya wahutu mwaka 1995 pale Kibeho ndani ya Rwanda, huyo genius wako ndio aliyesababisha vifo vya watu milioni 6 DRC, huyo genius wako ndie aliyepindua Rwanda, Congo DRC na sasa anataka kupindua Burundi. Kama huyo Kagame ni genius kwako basi sawa. Si tunachojua ni kuwa hata form 6 hajafika....
2. Hivyo viwanja na mengineyo yote kavikuta: Who brought development in Rwanda?
3. Kagame hana bahati kuwa wanyarwanda sio watu biased. Kagame anatawala kimabavu watu hawamtaki. Na ukome kusema "sisi tuna akili za kipumbavu". Wapumbavu ni nyinyi mnaopigana kila siku kwa sababu ya pua zenu, tuliwapa uraia nchini kwetu toka miaka ya 1960. Watch what you say about us. Tukiamua kuanza upumbavu utajikuta pabaya.
4. "Rwanda itakuwa mbali zaidi yetu" based on what exactly? watu wenu wanakimbia nchi yenu wanakaa maporini kwetu!
Nice try though, hii ID ya ngapi?
Kwa hiyo unataka kusema wanyarwanda mna hela kuliko watanzania? enhe mmetupita GDP kwa asilimia ngapi vile?Kujadili ubaya wa serikali au uzuri wake kunakusaidia nini wewe ikiwa mfukoni huna kitu na hujui lini utakuwa na fedha?. Akili za kitanzania zimemezwa kwenye ujinga wa kufuatilia siasa badala ya kuwa wabunifu katika utafutaji wa maendeleo yetu binafsi. Nimekupa mfano wa mauaji wa alibino ambayo ni aibu yetu kimataifa. Maadili bora tulikuwa nayo enzi hizo za Mwalimu Nyerere, sasa hivi hakuna kitu, kila mtu amejawa na kiburi na dharau. Kila mtu anajifanya anajua kila kitu.
katika mada kama hizi wewe si wa kuamini hata kidogo, make tayari unamlengo wako na komenti zako zinatabirikaUmejitahidi sana lakini bado huwezi kudanganya watanzania wanaojua mbinu zenu.
1. Huyo genius wako (sio genious 😛) ndio aliyeanzisha vita mwaka 1990 mpaka 1994, huyo genius wako ndio aliyeua majority ya hao waliokufa 1994, huyo genius wako ndio aliyechinja maelfu ya wahutu mwaka 1995 pale Kibeho ndani ya Rwanda, huyo genius wako ndio aliyesababisha vifo vya watu milioni 6 DRC, huyo genius wako ndie aliyepindua Rwanda, Congo DRC na sasa anataka kupindua Burundi. Kama huyo Kagame ni genius kwako basi sawa. Si tunachojua ni kuwa hata form 6 hajafika....
2. Hivyo viwanja na mengineyo yote kavikuta: Who brought development in Rwanda?
3. Kagame hana bahati kuwa wanyarwanda sio watu biased. Kagame anatawala kimabavu watu hawamtaki. Na ukome kusema "sisi tuna akili za kipumbavu". Wapumbavu ni nyinyi mnaopigana kila siku kwa sababu ya pua zenu, tuliwapa uraia nchini kwetu toka miaka ya 1960. Watch what you say about us. Tukiamua kuanza upumbavu utajikuta pabaya.
4. "Rwanda itakuwa mbali zaidi yetu" based on what exactly? watu wenu wanakimbia nchi yenu wanakaa maporini kwetu!
Nice try though, hii ID ya ngapi?
Kaka usitangulize jazba kwenye maongezi utaumiza moyo na akili yako. GDP na hela wapi na wapi?. Jaribu kutuliza kabisa akili unapojaribu kuchangia mada. Usiingie kwenye maongezi wakati una hasira zako binafsi, utaharibu maana nzima ya great thinkers.Kwa hiyo unataka kusema wanyarwanda mna hela kuliko watanzania? enhe mmetupita GDP kwa asilimia ngapi vile?
Mada pana hii tena ina utata mwingi na kila mtu anachangia kwa uelewa wake na mleta uzi sijui by chance au coincidence kakutana na ukarimu huo.Ila watu wa mipakani wanawajua uzuri watu hao walivyo unaweza kushangaa unakutana kama 8 hivi barabarani wanatembea kumbe wenzio wapo mkutanoni walifika njia panda kila mtu ana elekea kwake mkutano umeisha ni watu wa kutunza vitu kwa muda mrefu kujithamini wao kupita kiasi dharau ndo nyumbani kwake hapo unafiki na kujipendekeza kwa wenye mamlaka hapo umefika.Kiongozi kama kiongozi ana ubaya na uzuri wake kagame kuna mambo mengi ya msingi kawafanyia watu wake ule uhutu na ututsi haujaisha upo kwa mbali na wengi wenye mamlaka ni tutsi coz baada ya genocide wengi walikimbilia uganda tanzania hata kenya achilia mbali ulaya na %kubwa upstairs wapo uzuri so alipochukua nchi kagame akawaita kuhusu kina nyamwasa na kalegea jamaa baada ya kuchukua nchi wakataka yale mambo ya kuhodhi madaraka pk ndipo alipo kosana nao simpendi kagame kwa dharau zake na hila anazo wafanyia wakongo kwa kuiba na kufanya congo pawepo na vurugu ila kwa upande wa pili anafanya mema kwa nchi yake .
it doesn't matter mi hutoa facts and figures, nyinyi 'msiotabirika' kazi yenu kusifia uongo tu.katika mada kama hizi wewe si wa kuamini hata kidogo, make tayari unamlengo wako na komenti zako zinatabirika
facts gani ambazo muda wote ni negative tu kwa side fulani?! hakuna kitu kama hicho asee, na hii tabia mnaambukizana sana na ndo maana hapa nchini utawala wa awamu ya nne chini kikwete unajadiliwa negatively tu hata ukileta mada ya iyo serikali iliboresha miundombinu kuna watu kama wewe badala ya kutoa big up mtaponda tuit doesn't matter mi hutoa facts and figures, nyinyi 'msiotabirika' kazi yenu kusifia uongo tu.