Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,984
Jamani naombeeni msaada juu ya hili. Hili zoezi la kujiandikisha kupiga kura limenikuta nje ya mkoa wangu maana nilisafiri kikazi nikaja mkoani Kagera. Sasa kule kwetu zoezi linaendelea sawa na hapa Kagera.
Sasa tumeshauliwa eti tukajiandikishe popote pale hivi vitambulisho vitatuwezesha kupiga kura eneo lolote lile Tz.
Sasa baada ya kwenda kujiandikisha huku nilipo watu wananiambia eti kura yangu imeshapotea sitaweza kupiga kura nikiwa nje ya mkoa/kituo nilichojiandikishia.
Sasa nawaza hapa si ndio nishapoteza haki yangu? Maana mm sina shida na kitambuslisho vitambulisho ninavyo vingi nachotaka haki ya kupiga kura.
Halafu walichonishangaza ni kwamba unaandikwa bila kukuuliza document yoyote hii inamaanisha wahamiaji haramu ni rahisi sana kujichomeka hapa.
Ushauri katika hili wataalamu vp nitapiga kura kweli?
Sasa tumeshauliwa eti tukajiandikishe popote pale hivi vitambulisho vitatuwezesha kupiga kura eneo lolote lile Tz.
Sasa baada ya kwenda kujiandikisha huku nilipo watu wananiambia eti kura yangu imeshapotea sitaweza kupiga kura nikiwa nje ya mkoa/kituo nilichojiandikishia.
Sasa nawaza hapa si ndio nishapoteza haki yangu? Maana mm sina shida na kitambuslisho vitambulisho ninavyo vingi nachotaka haki ya kupiga kura.
Halafu walichonishangaza ni kwamba unaandikwa bila kukuuliza document yoyote hii inamaanisha wahamiaji haramu ni rahisi sana kujichomeka hapa.
Ushauri katika hili wataalamu vp nitapiga kura kweli?