HAhaahah Babu yangu masikini wazeeka vibaya weye............Thought tumeafikiana iwe limbwata ni nyama ya ulimi (Babu The Finest ameahidi kuanzisha thread juu ya hii na kutoa training ya limbwata la nyama ya ulimi)
Sasa hapo itategemea la nani kali loh.............. ama sivyo watakushikia dampo
Hapa sasa pagumu......nitamlimbwatua mbona!!