Tusisahau kuzingatia maelekezo anayotoa Waziri wa Afya ya kujilinda na ugonjwa mbaya wa Corona tusipuuzie Hilo watanzania.
Omukwano - upendo
Hii ni lugha gani?
Pamoja mkuu.. Wale wazee wa fujoKwanza nikupongeze kwa kufuma uzi wako bila kuweka wala kuponda Upande wa pili.
Ila utaona Kuna watu wataanza kuleta Habari nyingine kwenye uzi Huu.
Sema hyo stage kwakweli E wamejitahidi Sana. Kama mbele yaaani.
Pamoja mkuu.. Wale wazee wa fujo
Leo Ali Kiba atakuwa na interview pale Wasafi FMJana Alikiba alikua Live kwenye kipindi cha Homa Tve akitoa burudani kwa wapenzi wa Mziki mzuri, Pia alipata nafasi ya kumtambulisha msanii wake mpya Tommy kwa mshitukizo wa ngoma yao Mpya kabisa ya Kuitwa OMUKWANO Ngoma kali kinoma
Alikiba Profesa wa Mziki wa Bongo fleva
G.O.A.T wa Mziki wa Bongo Fleva
Team Mziki Mzuri
View attachment 1422306View attachment 1422307
SEMA ukweli mzee baba?Leo Ali Kiba atakuwa na interview pale Wasafi FM
NataniaSEMA ukweli mzee baba?
Kiba rapaLabda Kigagula,.