Ombi.waraka wa kakobe usipuuzwe...

Ombi.waraka wa kakobe usipuuzwe...

elia stephen

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
263
Reaction score
82
Serikali isipuuze waraka wa askof Kakobe kwani kwa kufnya hvyo watakuwa wameonyesha dhahiri kwamba nchi hii haina hofu ya Mungu.Sababu hii ndio inapelekea nchi hii mambo yake kwenda kombo.Mzaha mzaha hutumbua usaha....nawasilisha
 
basi sawa, japo hili sio jukwaa husika.....
 
Serikali isipuuze waraka wa askof Kakobe kwani kwa kufnya hvyo watakuwa wameonyesha dhahiri kwamba nchi hii haina hofu ya Mungu.Sababu hii ndio inapelekea nchi hii mambo yake kwenda kombo.Mzaha mzaha hutumbua usaha....nawasilisha
Kakobe ana walaka?
Kwani yeye ni mtume Paulo?
 
Back
Top Bottom