elia stephen
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 263
- 82
Serikali isipuuze waraka wa askof Kakobe kwani kwa kufnya hvyo watakuwa wameonyesha dhahiri kwamba nchi hii haina hofu ya Mungu.Sababu hii ndio inapelekea nchi hii mambo yake kwenda kombo.Mzaha mzaha hutumbua usaha....nawasilisha