Ombi rasmi kwa CCM: Maandamano ya nchi nzima ya kumuunga mkono Rais wetu yaandaliwe

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,859
20,713
Mimi ni mwanachama wa CCM.Kwa muda mrefu nimekuwa nakerwa mno na mambo yaliyokuwa yanaendelea katika nchi yetu, kiasi kwamba ilifika wakati ikaonekana kana kwamba wananchi wa Tanzania hawana mtetezi kabisa.Kila mtu atakubaliana na mimi kwamba wananchi wa Tanzania sasa wamepata mtetezi wa kweli, Rais Dr.John Pombe Magufuli.Ushindi dhidi ya kampuni ya Barrick Gold, ambapo kampuni hiyo imekubali kuilipa Tanzania haki yake yote,si wake binafsi ila ni wa Watanzania wote,hata na wale ambao walikuwa wanasema "tutakunywa shubiri."Huu ni ushindi wa kihistoria,na Rais wetu anastahili pongezi kwa kazi nzuri aliyoifanya.

Kwa ushindi huu wa awali, tunakiomba Chama kuandaa maandamano nchi nzima ya kumuunga mkono Rais katika vita hii ngumu ya kiuchumi aliyoinzisha.Maandamano haya yawe ya Watanzania wote,bila kujali itikadi zetu za kisiasa. Nia ni kumpongeza, kumpa hamasa,ujasiri na mandate ya kuendeleza vita hii ngumu.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Mimi ni mwanachama wa CCM.Kwa muda mrefu nimekuwa nakerwa mno na mambo yaliyokuwa yanaendelea katika nchi yetu, kiasi kwamba ilifika wakati ikaonekana kana kwamba wananchi wa Tanzania hawana mtetezi kabisa.Kila mtu atakubaliana na mimi kwamba wananchi wa Tanzania sasa wamepata mtetezi wa kweli, Rais Dr.John Pombe Magufuli.Ushindi dhidi ya kampuni ya Barrick Gold, ambapo kampuni hiyo imekubali kuilipa Tanzania haki yake yote,si wake binafsi ila ni wa Watanzania wote,hata na wale ambao walikuwa wanasema "tutakunywa shubiri."Huu ni ushindi wa kihistoria,na Rais wetu anastahili pongezi kwa kazi nzuri aliyoifanya.

Kwa ushindi huu wa awali, tunakiomba Chama kuandaa maandamano nchi nzima ya kumuunga mkono Rais katika vita hii ngumu ya kiuchumi aliyoinzisha.Maandamano haya yawe ya Watanzania wote,bila kujali itikadi zetu za kisiasa. Nia ni kumpongeza, kumpa hamasa,ujasiri na mandate ya kuendeleza vita hii ngumu.

Mungu ibariki Tanzania.
Nyie Wapuuzi acheni kupotosha watanzania, Kampuni ya BARICK haijakubali kulipa chochote.

Someni alichokisema Professor Thornton hapa.
=======================================
I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today.
 
Mimi ni mwanachama wa CCM.Kwa muda mrefu nimekuwa nakerwa mno na mambo yaliyokuwa yanaendelea katika nchi yetu, kiasi kwamba ilifika wakati ikaonekana kana kwamba wananchi wa Tanzania hawana mtetezi kabisa.Kila mtu atakubaliana na mimi kwamba wananchi wa Tanzania sasa wamepata mtetezi wa kweli, Rais Dr.John Pombe Magufuli.Ushindi dhidi ya kampuni ya Barrick Gold, ambapo kampuni hiyo imekubali kuilipa Tanzania haki yake yote,si wake binafsi ila ni wa Watanzania wote,hata na wale ambao walikuwa wanasema "tutakunywa shubiri."Huu ni ushindi wa kihistoria,na Rais wetu anastahili pongezi kwa kazi nzuri aliyoifanya.

Kwa ushindi huu wa awali, tunakiomba Chama kuandaa maandamano nchi nzima ya kumuunga mkono Rais katika vita hii ngumu ya kiuchumi aliyoinzisha.Maandamano haya yawe ya Watanzania wote,bila kujali itikadi zetu za kisiasa. Nia ni kumpongeza, kumpa hamasa,ujasiri na mandate ya kuendeleza vita hii ngumu.

Mungu ibariki Tanzania.

Kwanini usisubiri hayo majadiliano, unaharaka sana... tulia kwanza, tutashangilia baadae kidogo..
 
Nyie Wapuuzi acheni kupotosha watanzania, Kampuni ya BARICK haijakubali kulipa chochote.

Someni alichokisema Professor Thornton hapa.
=======================================
I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today.
Ndio kawaida yenu,kupinga kila jambo hamna dili,mmeaibika
 
Kwani hela Barrick watakazolipa hazitakusaidia wewe, acha mbwe mbwe za kitoto wewe.
Mie mkulima zitanisaidiaje? Labda mtagawa kipindi cha uchaguzi makofia na masharti ila mie siwez shiriki dhambi najua ccm ni shwetwani
 
Back
Top Bottom