Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Nimekuwa sifurahishwi na msemaji wa timu ya Azam hasa katika mechi mbili zilizopita.
Mara kwa mara hujunja moyo ya sie wapenzi wa timu hiyo na kwa wachezaji pia. Majuzi timu yetu ilipofungwa goli moja ugenini huku Ethiopia akitoa sababu eti ni uwingi wa mashabiki wao. Ikaja mechi ya ngao ya hisani {?} aliweka mazingira ya kufungwa na timu ya Simba kuwa na mashabiki wengi, tukafungwa.
Jana tumeweza kuishinda na kuitoa mashindanoni timu hiyo ya Ethiopia bila uwanja kujaa washangiliaji.
Nadhani mtu huyu hutujengea mazingira ya kushindwa, AJIPIME.
Mara kwa mara hujunja moyo ya sie wapenzi wa timu hiyo na kwa wachezaji pia. Majuzi timu yetu ilipofungwa goli moja ugenini huku Ethiopia akitoa sababu eti ni uwingi wa mashabiki wao. Ikaja mechi ya ngao ya hisani {?} aliweka mazingira ya kufungwa na timu ya Simba kuwa na mashabiki wengi, tukafungwa.
Jana tumeweza kuishinda na kuitoa mashindanoni timu hiyo ya Ethiopia bila uwanja kujaa washangiliaji.
Nadhani mtu huyu hutujengea mazingira ya kushindwa, AJIPIME.