Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Kwa kuwa nashawishika kuamini kwamba sababu kubwa iliyochangia kutomrudisha TBC bwa Mhando ni uwazi Mkubwa Wa vipindi vya mchakato majimboni. Vipindi ambavyo kwa kiasi kikubwa vilionyesha uhalisia, sera na uwezo binafsi wa wagombea kuanzia ngazi ya wabunge mpaka rais. Na kwa kuamini hivyo nashawishika kuamini kwa dhati kabisa kuwa kipindi hiki cha MCHAKATO MAJIMBONI hakitapata nafasi katika television yetu ya taifa na kupelekea kikosa haki ya kuwajua wagombea wetu na mtazamo au kusudi linalowasukuma kusimama kutatua matatizo ya majimbo na taifa kwa ujumla.
Kwakuwa hao TBC hawako tayari kusimama kwaajili ya maslahi ya wananchi, nawaomba kwa dhati kabisa nduguzangu Wa ITV na STAR TV kuchukua jukumu hili kwa maslahi ya watanzania wote ili kasaidia kusukuma mbele haki ya kupata habari.
Nawasilisha hoja
Kwakuwa hao TBC hawako tayari kusimama kwaajili ya maslahi ya wananchi, nawaomba kwa dhati kabisa nduguzangu Wa ITV na STAR TV kuchukua jukumu hili kwa maslahi ya watanzania wote ili kasaidia kusukuma mbele haki ya kupata habari.
Nawasilisha hoja