Ntozi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 226
- 299
Kauli ya Zitto Kwa Rais juu ya kumsamehe mwenzao ambae hakuwepo mkutanoni Kwa changamoto za kisheria,ni kauli ya kiutu inayolenga pia kujenga mshikamano wa Amani Kwa sasa na siku zijazo.
Lakini wengine wanajiuliza kwamba Zitto Kwa nafasi yake, angeweza kuonana na Rais huko Ikulu na kumwomba juu ya hilo.
Ukizingatia kuwa chama anachokiongoza kinaunda serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, haiwezi kuwa ngumu kwake kuonana na mama na kushauriana nae juu ya hilo la mwenzao.sasa haya matamko ya majukwaani, yanaongeza tu mijadala Kwa sababu kila mtu anakuja na maoni yake kiasi cha kufifisha uzito wa hoja nzuri Sana ya mh.Zitto Kwa mh.Rais.
Vyama vya siasa vya upinzani, vinatakiwa kuwa na umoja na kauli moja isiyotia Shaka juu jambo lolote ambalo vinaona haliko sawa Kwa ustawi wa demokrasia yetu changa.
Lakini wengine wanajiuliza kwamba Zitto Kwa nafasi yake, angeweza kuonana na Rais huko Ikulu na kumwomba juu ya hilo.
Ukizingatia kuwa chama anachokiongoza kinaunda serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, haiwezi kuwa ngumu kwake kuonana na mama na kushauriana nae juu ya hilo la mwenzao.sasa haya matamko ya majukwaani, yanaongeza tu mijadala Kwa sababu kila mtu anakuja na maoni yake kiasi cha kufifisha uzito wa hoja nzuri Sana ya mh.Zitto Kwa mh.Rais.
Vyama vya siasa vya upinzani, vinatakiwa kuwa na umoja na kauli moja isiyotia Shaka juu jambo lolote ambalo vinaona haliko sawa Kwa ustawi wa demokrasia yetu changa.