Ombi la kuomba kazi ajira au kibarua

Ombi la kuomba kazi ajira au kibarua

kaisar19

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2021
Posts
228
Reaction score
391
NAOMBA NAFASI YA KAZI

Habari, wakuu

Mimi ni kijana mchapakazi, mwaminifu na mwenye nidhamu ya kazi. Ingawa sina elimu ya vyeti, nina uwezo mzuri wa kujifunza kwa haraka na kufanya kazi kwa bidii.

Natafuta kazi ya aina yoyote halali kama:

Usafi wa ofisi

Kazi za ndani

Kusaidia mafundi

Kazi za kubeba mizigo

Kazi nyingine yoyote ya mkono au huduma ilimradi ni halali


Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote Tanzania, na nitashukuru sana kupata nafasi ya kuonyesha juhudi zangu.

Mawasiliano:
Simu: 0684939536
WhatsApp: 0684939536

Asante kwa kunisoma, na naomba nafasi ya kuaminika kazini.
 
Allah akufanyie wepesi ndugu yangu
Kikubwa kuwa na subira

Mungu hachelewi wala hawai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom