Ombi la Dharula : CAF ichunguze haraka vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Martyrs Kinshasa

Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .

Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati

Nakala - Ismail Aden Rage
😁😁😁 Kipigo kimewachanganya sana
 
Mkuu kubali tu Simba kapewa kundi gumu. Itashangaza mkianza laumiana msipofuzu.

Tena Simba ukweli tuna bahati tu. Ingekuwa tumewekwa kwenye kundi alilomo TP Mazembe tungemaliza michezo yote bila hata droo. Tushukuru tu kuna hiyo timu ya Algeria ambayo nao bado wageni kabisa kwenye michuano hii ndo tukapata hizo point3. Ni ujinga na ujuha kujiaminisha eti akina Kagere na kina Boko wataiwezesha Simba kuishinda AS Vita a u Al Ahly. Ushabiki na kutiana moyo sawa lakini kwenye facts pia tuseme tu.
 
Mkuu kubali tu Simba kapewa kundi gumu. Itashangaza mkianza laumiana msipofuzu.

Tena Simba ukweli tuna bahati tu. Ingekuwa tumewekwa kwenye kundi alilomo TP Mazembe tungemaliza michezo yote bila hata droo. Tushukuru tu kuna hiyo timu ya Algeria ambayo nao bado wageni kabisa kwenye michuano hii ndo tukapata hizo point3. Ni ujinga na ujuha kujiaminisha eti akina Kagere na kina Boko wataiwezesha Simba kuishinda AS Vita a u Al Ahly. Ushabiki na kutiana moyo sawa lakini kwenye facts pia tuseme tu.
Ngumu kumeza hii
 
Back
Top Bottom