interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Mwanaume hapigwi goli tano 5, bali Mwanamke ndiye hupigwa hivyo chumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
KWANI UNAPATA TABU SANA KUPIGWA GOLI ZOTE 5 KIASI CHA KUJINYONGA CHIFU ?Kwanini usiache uchunguzi ufanyike ili ukweli ujulikane mkuu ?
Usiwe na ushabiki wa kishamba hatuna timu ya ushindani kama unavyodhani.
Ulijua Simba atamfunga AS Vita? Uwe unatumia akili vizuri basi, siyo kisa una mahaba na Simba basi hata akili nazo uwape.
Mimi huwa ni shabiki msema ukweli sina konakona kama nyoka.
SIMBA HATUTAPATA POINT HATA MOJA KWENYE MECHI ZA UGENINI. Ukitaka meza ukiona chungu tema.
HUYO NI "CHA LAWAMA" SIKU ZOTE KTK UBORA WAKE TENA AMESHAWAZIDI HADI WANA WA ISRAELI WALIPOMLALAMIKIA MUSSA JANGWANI TOKA KULE MISRI.Hahahaaaaaa! Eti napinga vibaya mno! Hahahaaaa kweli wewe ni mbumbumbu Mkuu! Unadhan Caf hawana chakufanya mpaka waanze kuchunguza hisia zako? Waambie TFF waanze kuchunguza mchezo wenu na Mashujaa kwanza maana pia mlicheza mpira mbovu sana kisha wachunguze Azam maana hata fainali ya mapinduzi mlirukaruka tu uwanjani.
By the way wewe ni mpinzni wa kila kitu hata serikali inayokufanya uandike uozo wako unaipinga kila iitwayo Leo.
Ila unahaki ya kulalamika goli tano zinauma I see asikwambie MTU.
Wewe ni mwanamke najua unajua shughuli ya goli tano ikoje inahusisha mpaka kuchubuliwa ..hahahaaaa
Ila pia Simba wachunguzwe ile mechi waliyoshinda 3 - 0 kabla ya wao kupigwa 5 - 0, maana huenda hizo ndizo tabia zake hasa kwa timu pinzani zinapokuja pale Uwanja wa Taifa.
Kumbe ndo njia mlotumia kuwafunga waarabu siku ile!?
Asante sana mropokaji Rage!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Mama kwa kichapo cha jana mpaka ulilala na viatuSimba walipaswa kucheza deep kujilinda zaidi na kutengeneza counter attack
Mechi za Africa ukicheza ugenini hupaswi kukabia kwenye highline kama walivyofanya Simba lazima utafungwa nyingi tu
Al Alhy na Esperansa pamoja na ubabe wao wote wakicheza a ugenini wanapaki basi na kupoteza muda wakitafuta sare wale sio wajinga wanajua mechi za Africa zilivyo
Sasa wewe unaenda kwa As Vita unasema tunaenda kushambulia matokeo yake lazima ule nyingi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu tunazoshindana nazo zimewekeza kwa wachezaji sisi tumewekeza kwa Chama na Kagere tunasubiri miujiza.Hawapendagi ukweli ndo.maana wanamtukana DAUDA hata kama akipost maswala ya familia yake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyomaana hawaendagi popote, hv laiti km soka lingekuwa ni uchawi, wale Nigeria wangesimamishwa na timu ipi ya Taifa duniani?
Ili uwe shabiki mwenye msaada kwa timu yako lazima uone uovu na uzuri wa timu yako ila ukijidai kuona uzuri tu basi huo siyo ushabiki ni ujinga.Wachezaji karibia wote ni 35+ walishatumika kila mahali unafikiri utashindaje.As Vita ni timu kubwa sana.Roul Shungu ni kocha mkubwa sana lakini ni kocha msaidizi pale, Uchebe hata CV take in ya kutafuta kwa tochi lkn ndo kocha mkuu simba unategemea nini? Unajifanya kwenda huku huna breki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena waliwekeza na neti, vitanda, magodoro, mito na mashuka kabisa huku wakikoroma kabisaaaaa
Hakuwasingizia kabisa maana ndiyo tunaona matokeo yake sasa hivi hapa kupitia huu uzi.Shaffih dauda juzi aliwaita mashabiki wa simba kuwa ni mashabiki OYA OYA. Yaani chochote kikisemwa wao wamo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana akili hawaTena waliwekeza na neti, vitanda, magodoro, mito na mashuka kabisa huku wakikoroma kabisaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule msemaji ni kilaza sijapata kuona. Anavyoichukulia Simba ni kama anaona ni timu kubwaaa kuliko hata hao washindani wake.Manara anawaharibu watu wa Simba, mi naungana na negativity attitude ya shafii dauda ikizingatiwa itaivusha simba kuliko positivity ya manara
Khaaah!...? Aisee sijawahi kucheka kama hivi nilivyocheka LeoHalafu ilikuwa iwe refa kakataa goli halali, hata hivyo sio mbaya kubaki na nguzo tano za uislam
Sent using Jamii Forums mobile app
So Simba amekuwa na nguzo 5 za Uislamu siku hizi?Halafu ilikuwa iwe refa kakataa goli halali, hata hivyo sio mbaya kubaki na nguzo tano za uislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mbaliiii sanaaaaa.Tuache visingizio...tumezidiwa uwezo