Ombi kwa vituo vya TV kubadili muda vipindi vya watoto Jumapili

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,681
1,698
Wakuu, nimekuwa napata shida siku ya jumapili asubuhi kuwaandaa watoto kwenda kusali. Mawazo yao yote huwa kwenye kuangalia vipindi vya watoto. Ni vizuri na vinaelimisha huvo napendekeza kubadirisha muda ama vianzie mchana ama jioni.
 
Mungu akubariki kwa kuliona hili,kwangu imekuwa kama kwazo.maana mpaka kuepusha kuwachapa nimewakataza tv mpaka baada ya kutoka kanisani
 
Wakuu, nimekuwa napata shida siku ya jumapili asubuhi kuwaandaa watoto kwenda kusali. Mawazo yao yote huwa kwenye kuangalia vipindi vya watoto. Ni vizuri na vinaelimisha huvo napendekeza kubadirisha muda ama vianzie mchana ama jioni.
Duuh! Kipindi nikiwa mtoto, nilikuwa nadoji kanisani ili nicheki ile tamthilia ya kichina(Joyrney to the West)...shivooo, bajie
 
Mimi nilikua nazima umeme wakanishtukia, nikawa naficha remote kumbe watoto wako mbele yangu kidigitali nawakuta wanaangalia! sasa leo nimewaambia watch it hata kama mnapenda kuangalia sana tv not to that extent nendeni kanisani kwanza hamna uhuru huo, yule mdogo akaniuliza kwani na wewe ni ........
 
Mimi nilikua nazima umeme wakanishtukia, nikawa naficha remote kumbe watoto wako mbele yangu kidigitali nawakuta wanaangalia! sasa leo nimewaambia watch it hata kama mnapenda kuangalia sana tv not to that extent nendeni kanisani kwanza hamna uhuru huo, yule mdogo akaniuliza kwani na wewe ni ........
Huo ni ukatiri mkuu, wabadirishe muda.
 
kila kanisa na ratic yake,gwajizo hajaanza hata kuvaa kizibao wakati RC ibada imekwisa tangu saa moja
 
Mungu akubariki kwa kuliona hili,kwangu imekuwa kama kwazo.maana mpaka kuepusha kuwachapa nimewakataza tv mpaka baada ya kutoka kanisani
Biblia inatuambia Yesu alisema 'waacheni watoto waje kwangu', kuwakataza watoto kuangalia TV hasa vipindi vya watoto ni kuwanyima haki yao na kuwazuia kwenda kanisani vile vile ni kuwanyima haki yao. Kutatua tatizo ni kubadilisha muda wa vipindi tu. Tuendelee kumuomba Mungu wahusika walifikirie hili kuwapa haki watoto.
 
Waambie kanisani ndo wabadilishe ratiba muende huko kwa Dkt. Nabii, Mtume GWAJIZO baada kipindi cha katuni ITV.
 
Wakuu, nimekuwa napata shida siku ya jumapili asubuhi kuwaandaa watoto kwenda kusali. Mawazo yao yote huwa kwenye kuangalia vipindi vya watoto. Ni vizuri na vinaelimisha huvo napendekeza kubadirisha muda ama vianzie mchana ama jioni.


Kwa nini Kanisa lisibadilishe Muda?
 
Biblia inatuambia Yesu alisema 'waacheni watoto waje kwangu', kuwakataza watoto kuangalia TV hasa vipindi vya watoto ni kuwanyima haki yao na kuwazuia kwenda kanisani vile vile ni kuwanyima haki yao. Kutatua tatizo ni kubadilisha muda wa vipindi tu. Tuendelee kumuomba Mungu wahusika walifikirie hili kuwapa haki watoto.
Mkuu nimekuelewa sana lakini ibada ni muhimu zaidi. maana imeandikwa mlee mtoto katika njia impasayo.
 
Mkuu nimekuelewa sana lakini ibada ni muhimu zaidi. maana imeandikwa mlee mtoto katika njia impasayo.
Sawia mkuu, lakini kumnyima mtoto kuangalia vipindi ni kumnyima 'elimu dunia'? Kwani vipindi hivi ni mbadala wa darasa shuleni.
 
Wakuu, nimekuwa napata shida siku ya jumapili asubuhi kuwaandaa watoto kwenda kusali. Mawazo yao yote huwa kwenye kuangalia vipindi vya watoto. Ni vizuri na vinaelimisha huvo napendekeza kubadirisha muda ama vianzie mchana ama jioni.
Nani kakwambia jumapili ni siku ya kusali? Nipe andiko linalokuunga mkono
 
Back
Top Bottom