Ombi kwa Rais; usimtumie RC Makonda kwenye matukio ya ufunguzi wa miradi

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
18,584
23,056
Rais wetu mpendwa mleta maendeleo mtetezi wa wanyonge,ombi letu kwenye matukio makubwa kama haya ya kitaifa Rais muondoeni mkuu wa mkoa kwenye ratiba

Aje yule kaimu japo sisi/mimi ni ccm na nategemea kuchukua kadi yangu wiki ijayo huwa tunapata hasira kila tukimuona na kukumbuka matukio na visa vyake.

Na wewe unavyomlinda yeye akipata nafasi hiyo huwananga wabaya wake na wewe mashetani hukupanda ukaropoka tu juu ya wabaya wako sababu ya kumuona mwanao mbele ya macho

Kama kuku alindavyo vifanga vyake mbele ya macho ya mwewe

Matokeo yake Rais habari ya kitaifa kama hii kubwa na ya kihistoria hukosa kiki front page si hao waandishi wamemchunia sasa wataandika nini na kila picha yupo ubavuni mwako!

Siku ya matukio abaki tu kufanya kazi nyingine yaani tulitamani kumrukia!

Aksante rais wetu msikivu aka truck driver!
 
Raisi wetu mpendwa mleta maendeleo mtetezi wa wanyonge,ombi letu kwenye matukio makubwa kama haya ya kitaifa rais muondoeni mkuu wa mkoa kwenye ratiba

Aje yule kaimu japo sisi/mimi ni ccm na nategemea kuchukua kadi yangu wiki ijayo huwa tunapata hasira kila tukimuona na kukumbuka matukio na visa vyake.

Na wewe unavyomlinda yeye akipata nafasi hiyo huwananga wabaya wake na wewe mashetani hukupanda ukaropoka tu juu ya wabaya wako sababu ya kumuona mwanao mbele ya macho

Kama kuku alindavyo vifanga vyake mbele ya macho ya mwewe

Matokeo yake rais habari ya kitaifa kama hii kubwa na ya kihistoria hukosa kiki front page si hao waandishi wamemchunia sasa wataandika nini na kila picha yupo ubavuni mwako!

siku ya matukio abaki tu kufanya kazi nyingine yaani tulitamani kumrukia!

Aksante rais wetu msikivu aka truck driver!
Kuuliza si ujinga toka lini wewe ukawa mwana CCM
 
kuna ukweli, naona hata habari za 'standard gauge' haijatangazika sana kisa tu 'wa ubavu' wake yuko ubavuni. habari yenye kumuonyesha 'wa ubavu' wa falani, haina soko kwasasa.
Swala si kutangazwa ni kukamiliƙa wananchi waƙianza kuitumia watakuwa tangazo tosha kuwa serikali imefanya vizuri kote inaƙopita hiyo reli.tangazo kuɓwa si leo kuwa vyomɓo vya habari vikitangaza huo uzinɗuzi au la to hell with them.Baaɗa ya kukamilika hata vyomɓo vƴa habari vikisusa na kwenɗa kunya kwa kususa watumiaji wataitangaza tena sana..Ukiwaona hao waliosusa kutangaza waamɓie to hell with you.
 
Naona ndio mnazidi kumfanya azidi kumtumia kwasababu alishasema hapangiwi cha kufanya na kusema.

Na pia anaamini kila anayemkosoa Makonda basi anamuonea wivu.

Tegemea kuona zaidi wakiambatana na DAB kwenye shughuli zozote zitakazo fanyika hapo Dar.
 
Makonda siyo Mwanasiasa na wala siyo mgombea 2020. Tumieni nguvu nyiiiingi na mapovu ya Omo kupambana nae then 2020 Mtapigwa uso maana agenda yenu labda itakuwa BASHITE

- Tusubiri kusikia malalamiko ya kuibiwa kura kwa watakaoshindwa na kula kitoso
Hata kama sio mwanasiasa mradi amejiingiza kwenye genge la wanasiasa awe tayari kuyakabili yote
 
Kwani hiki kipato cha ziada kutia bundle unatafuta wewe angalia maisha yako ,angalia sana ukiona harusi mtaani ustandike kanga yako chini bila kujua harusi ya nani!
Mtanyooka tuuu!
Coz mtapiga kelele,,, mkichoka mtatafuta kivuli mkae kupumzika
Sisi tunapeta!!
 
Kama kulamba viatu kwa mkuu kupitia thread hapa kamanda imepitiliza.
Sasa huoni kuwa kama Makonda ni kero utamfagilia vp huyo anayemlinda, hapo ina maana wote hao mlindaji na mlindwaji ni kero!!!! Ova
 
Kama kulamba viatu kwa mkuu kupitia thread hapa kamanda imepitiliza.
Sasa huoni kuwa kama Makonda ni kero utamfagilia vp huyo anayemlinda, hapo ina maana wote hao mlindaji na mlindwaji ni kero!!!! Ova
Kati ya viwili kimoja huchagulika!
 
Back
Top Bottom