Ombi kwa Rais;Fao la kujitoa

Msolopagazi

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
663
153
Ombi kwa vyama vya wafanyakazi kesho ikiwa ni siku muhimu kwa wafanyakazi ni bora na watakuwa wamefanya jambo la maana na la kukumbukwa kwa kumuomba muheshimiwa rais
John Pombe Magufuli kuruhusu fao la kujitoa kwani sekta nyingi almost zote zimedorora sana hasa za binafsi kupelekea kupunguza wafanyakazi wao hivyo ni muhimu watu wakachukua michango
yao na kwenda kujiajiri kwani maisha ni magumu sana uraiani.

Pili kipindi hiki kimekuwa kigumu sana kupata ajira kwani watu wanaotafuta kazi niwengi kuliko walio na kazi imagine hawa elfu 9000 waliochishwa juzi nao pia wanaingia katika soko la kutafuta ajira ili waweze kujikimu na maisha baada ya kuachishwa serikalini.

Tatu kodi tunazokatwa wafanya kazi kwa mwezi ni kubwa sana ikilinganishwa na sekta zingine kama biashara na tunalipa bila delay au shuruti kwani zinakatwa juu kwa juu tofauti na mtu anaye fanya biashara au kilimo ambaye mpaka afuatwe pia ikumbukwe katika mafao ni mchango baina ya mfanyakazi na anaongezewa na mwajiri wake hakuna hata senti kutoka serikalini wala ruzuku kwa hiyo serikali ingetuachia sisi wafanyakazi wenyewe tukajipangia matumizi yetu badala ya serikali kutuingilia.

nne mimi binafsi niko kwenye sekta ya madini mazingira ya kazi ni magumu sana kwa hali ya kawaida huwezi kufanya kazi hadi kufikisha miaka 60 serikali iangalie takwimu za OSHA tangu migodi ianze kuna watanzania wengi sana wameathirika kutokana na uchimbaji wa madini hasa migongo sababu heavy duty mashine hazina shock up ni kiuno chako ndiyo spring masikio sababu ya kelele pia mapafu na magonjwa kama silicosis kwa sababu ya vumbi hivyo mtu kufanya kazi ya mining kwa zaidi ya miaka kumi kama mwalimu au nesi au afisa ugani ni uongo kwa haya machache chonde chonde ndugu zanguni naomba mtufikishie kilio chetu au nasikia mkulu mwenyewe anapita pita kwenye mtandao tunaomba mtusaidie wanyonge mliopa mtatusaidia. Asante
 
Ombi kwa vyama vya wafanyakazi kesho ikiwa ni siku muhimu kwa wafanyakazi ni bora na watakuwa wamefanya jambo la maana na la kukumbukwa kwa kumuomba muheshimiwa rais
John Pombe Magufuli kuruhusu fao la kujitoa kwani sekta nyingi almost zote zimedorora sana hasa za binafsi kupelekea kupunguza wafanyakazi wao hivyo ni muhimu watu wakachukua michango
yao na kwenda kujiajiri kwani maisha ni magumu sana uraiani.

Pili kipindi hiki kimekuwa kigumu sana kupata ajira kwani watu wanaotafuta kazi niwengi kuliko walio na kazi imagine hawa elfu 9000 waliochishwa juzi nao pia wanaingia katika soko la kutafuta ajira ili waweze kujikimu na maisha baada ya kuachishwa serikalini.

Tatu kodi tunazokatwa wafanya kazi kwa mwezi ni kubwa sana ikilinganishwa na sekta zingine kama biashara na tunalipa bila delay au shuruti kwani zinakatwa juu kwa juu tofauti na mtu anaye fanya biashara au kilimo ambaye mpaka afuatwe pia ikumbukwe katika mafao ni mchango baina ya mfanyakazi na anaongezewa na mwajiri wake hakuna hata senti kutoka serikalini wala ruzuku kwa hiyo serikali ingetuachia sisi wafanyakazi wenyewe tukajipangia matumizi yetu badala ya serikali kutuingilia.

nne mimi binafsi niko kwenye sekta ya madini mazingira ya kazi ni magumu sana kwa hali ya kawaida huwezi kufanya kazi hadi kufikisha miaka 60 serikali iangalie takwimu za OSHA tangu migodi ianze kuna watanzania wengi sana wameathirika kutokana na uchimbaji wa madini hasa migongo sababu heavy duty mashine hazina shock up ni kiuno chako ndiyo spring masikio sababu ya kelele pia mapafu na magonjwa kama silicosis kwa sababu ya vumbi hivyo mtu kufanya kazi ya mining kwa zaidi ya miaka kumi kama mwalimu au nesi au afisa ugani ni uongo kwa haya machache chonde chonde ndugu zanguni naomba mtufikishie kilio chetu au nasikia mkulu mwenyewe anapita pita kwenye mtandao tunaomba mtusaidie wanyonge mliopa mtatusaidia. Asante
Umenena vyema mkuu,lakini waliofoji vyeti wana mikopo bank,mafao yao tunatakiwa kuwapa maana walifanya kazi lakini mpaka tu crosscheck na NMB,ikiwa hayatoshi kumaliza deni laxima twende kwenye mali zao!
 
Ombi kwa vyama vya wafanyakazi kesho ikiwa ni siku muhimu kwa wafanyakazi ni bora na watakuwa wamefanya jambo la maana na la kukumbukwa kwa kumuomba muheshimiwa rais
John Pombe Magufuli kuruhusu fao la kujitoa kwani sekta nyingi almost zote zimedorora sana hasa za binafsi kupelekea kupunguza wafanyakazi wao hivyo ni muhimu watu wakachukua michango
yao na kwenda kujiajiri kwani maisha ni magumu sana uraiani.

Pili kipindi hiki kimekuwa kigumu sana kupata ajira kwani watu wanaotafuta kazi niwengi kuliko walio na kazi imagine hawa elfu 9000 waliochishwa juzi nao pia wanaingia katika soko la kutafuta ajira ili waweze kujikimu na maisha baada ya kuachishwa serikalini.

Tatu kodi tunazokatwa wafanya kazi kwa mwezi ni kubwa sana ikilinganishwa na sekta zingine kama biashara na tunalipa bila delay au shuruti kwani zinakatwa juu kwa juu tofauti na mtu anaye fanya biashara au kilimo ambaye mpaka afuatwe pia ikumbukwe katika mafao ni mchango baina ya mfanyakazi na anaongezewa na mwajiri wake hakuna hata senti kutoka serikalini wala ruzuku kwa hiyo serikali ingetuachia sisi wafanyakazi wenyewe tukajipangia matumizi yetu badala ya serikali kutuingilia.

nne mimi binafsi niko kwenye sekta ya madini mazingira ya kazi ni magumu sana kwa hali ya kawaida huwezi kufanya kazi hadi kufikisha miaka 60 serikali iangalie takwimu za OSHA tangu migodi ianze kuna watanzania wengi sana wameathirika kutokana na uchimbaji wa madini hasa migongo sababu heavy duty mashine hazina shock up ni kiuno chako ndiyo spring masikio sababu ya kelele pia mapafu na magonjwa kama silicosis kwa sababu ya vumbi hivyo mtu kufanya kazi ya mining kwa zaidi ya miaka kumi kama mwalimu au nesi au afisa ugani ni uongo kwa haya machache chonde chonde ndugu zanguni naomba mtufikishie kilio chetu au nasikia mkulu mwenyewe anapita pita kwenye mtandao tunaomba mtusaidie wanyonge mliopa mtatusaidia. Asante
Alafu wakifukuzwa kule wataomba kazi wapi na vyeti vipi?
 
Hili jambo la fao la kujitoa ni sensitive kuliko watu watawala wanavolichukulia. Nimeskia, tetesi tu kuwa NSSF wameanza kutoa tena hilo fao ila sina hakika, kama mtu ana habari zaidi anaweza kutujuza.
 
PPF wamenyoka baada ya kuanza kukosa wanachama, sasa hivi wanatoa mafao ya kujitoa
 
Hili jambo la fao la kujitoa ni sensitive kuliko watu watawala wanavolichukulia. Nimeskia, tetesi tu kuwa NSSF wameanza kutoa tena hilo fao ila sina hakika, kama mtu ana habari zaidi anaweza kutujuza.
Wanatoa ila afta miez 6 tangu kuachishwa kazi tofauti na zaman ilivokuwa.
 
sawa mkuu pamoja sana mungu atupiganie katika hili dhidi ya waonevu wa wanyonge awape ban la maisha.
 
Hili jambo la fao la kujitoa ni sensitive kuliko watu watawala wanavolichukulia. Nimeskia, tetesi tu kuwa NSSF wameanza kutoa tena hilo fao ila sina hakika, kama mtu ana habari zaidi anaweza kutujuza.
Mkuu mimi nimeenda tarehe 21 mwez huu nimepigwa kalenda tena mwezi wa saba sasa sijui kama wameanza kutoa kuanzia tarehe 24 .
 
Kuna nafasi kama elfu 60 zitawaniwa mwaka huu serikalini.

Kwa hiyo mambo yako swafiiii, serikali inajali wananchi na haijawasahau.

Hayo uliyoandika natumaini watakusoma na kufanyia kazi kama itaruhusu kufanya mabadiliko.
 
Ulifata taratibu gan kupata pesa zako na ulikuwa na barua inayoonesha kuacha kazi??
Mkuu taratibu zote nimefuata na kitu cha mwisho ni kujaza fomu ya kufungua madai nilijaza toka mwaka jana mwez wa 5, kilichobaki ni wao kunipa hundi ya malipo tu ndipo danadana zilipo yaan kalenda tu na sipo peke yangu tupo wengi so nimestushwa na tetesi zako.
 
Raisi kalewa mamlaka
Ili fao la kujitoa mbona nikuanzia kipindi cha kikwete tena supporters wakubwa bungeni alikuwa Zitto,Msigwa na Tundu kasoro Mnyika kwa upande wa CDM na Jaffo upande wa CCM hao wanasiasa sijui chama cha wafanyakazi ndo mabingwa wanaopinga lisiwepo, hiyo hesabu maamivu mimi nikiwahi nikachukua mapema
 
Pension funds zote ziko kwenye kampeni ya ujenzi wa viwanda hivyo msahau kupata fao lenu la kujitoa
 
Back
Top Bottom