Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 301
Najua mahali hapa ni mahala panapopita macho ya wengi Tanzani, Afrika na Dunia nzima. Japo wanaoelewa kinachokuwa kimeamdikwa hapa ni wale tu wanaoifahamu lugha hii pendwa ya kiswahili.
Nisiwachoshe wakuu nielekee kwenye hoja ilionileta hapa.
Ombi langu kwa chama changu pendwa Chadema ni kuwataka wafikirie juu ya kimiliki vyombo vya habar kama Tv. Station, Radio, na on-line radio. Wazo hili limenijia baada ya kuona uonevu mkubwa unaofanywa na Tbc chombo ambacho kinatumia kodi ya watanzania kulinda chama cha mafisadi CCM.
Wakuu, kwa wale wote waliofatilia mjadala wa bunge wataungana na mimi kuwa leo Tbc imekosea uma wa watanzania kwa kukata makusudi kipindi cha bunge wakati Mh. Tundu lisu akiwasilisha maoni ya wachache, kiukweli amesema ukweli ule ambao sisi kama wanadamu tunapaswa tuuseme.
Nawaomba wanachadema na viongozi tusaidiane juu ya hili ili tupate vyombo vyetu vya habari vitavotujuza mambo mbalimbali yahusuyo serikali na matatizo ya wananchi.
Viva Cdm
* wanasheria mnakaribishwa kutoa ushauri wa kisheria juu ya mada.
*wapenda kejeli na dharau piteni tu msichafue hali ya hewa.
*wenye mapenzi mema na nchi yetu karibun.
**## BINAFSI NIPO TAYARI KUCHANGIA ILI TUPATE VYOMBO VYA HABARI HURU NA SI TBC
Nisiwachoshe wakuu nielekee kwenye hoja ilionileta hapa.
Ombi langu kwa chama changu pendwa Chadema ni kuwataka wafikirie juu ya kimiliki vyombo vya habar kama Tv. Station, Radio, na on-line radio. Wazo hili limenijia baada ya kuona uonevu mkubwa unaofanywa na Tbc chombo ambacho kinatumia kodi ya watanzania kulinda chama cha mafisadi CCM.
Wakuu, kwa wale wote waliofatilia mjadala wa bunge wataungana na mimi kuwa leo Tbc imekosea uma wa watanzania kwa kukata makusudi kipindi cha bunge wakati Mh. Tundu lisu akiwasilisha maoni ya wachache, kiukweli amesema ukweli ule ambao sisi kama wanadamu tunapaswa tuuseme.
Nawaomba wanachadema na viongozi tusaidiane juu ya hili ili tupate vyombo vyetu vya habari vitavotujuza mambo mbalimbali yahusuyo serikali na matatizo ya wananchi.
Viva Cdm
* wanasheria mnakaribishwa kutoa ushauri wa kisheria juu ya mada.
*wapenda kejeli na dharau piteni tu msichafue hali ya hewa.
*wenye mapenzi mema na nchi yetu karibun.
**## BINAFSI NIPO TAYARI KUCHANGIA ILI TUPATE VYOMBO VYA HABARI HURU NA SI TBC