Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 301
- Thread starter
- #21
Na wale mchwa watafuna ruzuku pale ufipa wazo lako halitawezekana.
Hivi wezi wa epa na watafuna kodi za watanzania umewasahau? Tatizo unaushabiki wa chama, huna nia ya kutoa wazo zuri linaloweza tatua matatizo ya watanzania. Badala yake unatanguliza maslai kama unakerwa na matatizo ya watanzani fanya moja ya yafuatayo na si ushabiki
1. Tumia user name
inayofahamika.
2. Tuambie je ni sahihi kutumia vyombo vya dola katika uchaguzi.
3. Tueleze ni sahii serikali kufumbia macho wauaji na watesaji wa raia wasio na hatia?
4. Ni haki kwa tbc kuzima mitambo wakat wa hoja za wapinzani
5. Ahadi alizo ahid mwenyekiti wako zimetia hata robo? Kama bado kwa nn?
6. Kwann watanzania ni maskini?
7. Nani muuaji wa tembo na kwann hachukuliwi hatua?
Nipe majibu hayo kwa hoja na si porojo kama unakerwa na matatizo ya watanzania