Ombi kwa Bernard Membe

Mnakiri kuwa upinzani hamna kitu na unamtegemea mwanaccm soo haun kma upinzan nu dhaifu.
 
Unajua kuwa Membe alipata Div 4 form four?
Kufeli shule sio kufeli maisha, kuna watu kibao wana-degree zaidi ya moja tena first class hakuna chochote wanachofanya. lakini wapo darasa 4 tu au wasiokwenda shule kabisa wanafanya vizuri.
 
MH. BERNARD MEMBE, KWA HESHIMA ZOTE, HANA UWEZO, HAIBA WALA SIFA YA KUWA HATA WAZIRI MKUU WA NCHI HII ACHILIA MBALI UMAKAMU AU URAIS WENYEWE, REGARDLESS YA CHAMA. KWA MTAZAMO WANGU, NA BILA KUJALI CHAMA KUNA WATU WANA SIFA HIZO ZA KUWA RAIS 2020 NA NIWATAJE WACHACHE KAMA WAZIRI WA ULINZI MH. DR. HUSSEIN MWINYI, MH. TUNDU LISSU, MH. MWIGULU MCHEMBA, BALOZI DR. EMMANUEL NCHIMBI, NA WATU WA AINA ZAO.AKITOKEA YOYOTE KATI YA HAO SAWA KABISA. MAONI YANGU.
 
Naunga mkono hoja,ukizingatia nilikua timu Membe 2015,

Membe hana mvuto; hawezi kuchaguliwa hata hapo 2015 alikuwa anabebwa na mkweree tu pamoja na mshiko aliovuta toka kwa Gaddafi!! Sasa ule mshiko wa Gaddafi umekwisha kwa kujengea hotel iliyobakia waungane na Nape wafanye biashara ya hoteli huko kwao!!
 
Zitto Kabwe naye ni Presidential Material
 
Huo ndiyo mtindio wenyewe wa ubongo, kwani wakati mnamuita team JK na kwamba wanachaguana na kupeana madaraka hamkumuona anafaa ila leo ndiyo akili zimewarudia siyo????
Kweli chizi karogwa tena.
Haloperidol inakuhusu!
Najua kwa akili ya mwendokas huwez kujua namaanisha nn mpka u google....hahahaha
 
Naunga Mkono kwa 100% Akikubali Narudisha Kadi Sasa hivi
 
 
This time it is Lisu to stand. Ana urais mmoja anaongezewa Wa pill. Tundu Lisu oyeeee! Komaa mwanangu, kapambane na huyo mtukufu.
 
membe ana mapungufu mengi sana, lakini ndiye rais bora kuliko wanaccm wooote, kwanza anajua kiingereza, elimu yake sio magumashi, ana utaalamu na diplomasia, ni afisa usalama wa taifa, halafu ana akili.
KUTUMWA VEEPEE
 
membe ana mapungufu mengi sana, lakini ndiye rais bora kuliko wanaccm wooote, kwanza anajua kiingereza, elimu yake sio magumashi, ana utaalamu na diplomasia, ni afisa usalama wa taifa, halafu ana akili.
Membe ni binadamu pekee aliyepo CCM anaeweza kuiongoza hii nchi vizuri
Ina maana CCM hakuna mtu sasa hivi ??
 
Kwani CHADEMA hakuna kabisa mwenye sifa na nguvu za kusimama kugombea uRais mpaka atokee tena CCM?
 
Kwa mtazamo wangu mimi huu ni muda wa kumuomba Ndugu BERNARD MEMBE atoke huko alipo na apinduke upande wa pili kwa ajili ya kumsimamisha akiwakilisha upinzani na LOWASA abakie kutoa support na si kuwa mgombea
Asijaribu. Hafai!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…