Omba usipate mke kama huyu...

KIRIKIOU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2014
Posts
241
Reaction score
57
MUME::haloo mke wangu..nimepata ajali nikielekea kazini.elizabeth amenileta hospital.japo kichwa kimepasuka madokta wamesema nitakua sawa ila wamenipiga x-ray mbavu tatu zimevunjika na huenda wakanikata mguu.

MKE:: ELIZABETH NI NANI?
 
Hapo afya yako ni moja na Elizabeth ni mbili.
Yote ni ya kujadili ingawa la pili linategemea sana la kwanza,kama uko stable!!
 
MUME:ni yule dada anayekusaidia kazi za chumbani siku mojamoja.
MKE: ????????
 
MUME::haloo mke wangu..nimepata ajali nikielekea kazini.elizabeth amenileta hospital.japo kichwa kimepasuka madokta wamesema nitakua sawa ila wamenipiga x-ray mbavu tatu zimevunjika na huenda wakanikata mguu.

MKE:: ELIZABETH NI NANI?

Ungetaja Pdidy kanleta

Angeuliza umeanza lini hakokamchezo


Baibo inasemawazi tuishinaokwa akili
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…