Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,664
- 218,150
Mwanzoni hali haikuwa hivi , lakini mambo yamebadilika baada ya serikali kutoa tamko kwamba Wafanyabiashara ndogondogo wasibughudhiwe.
Ikumbukwe kwamba Wapiga debe walishaingia humo kitambo kirefu tu .
Kadhia hii iko upande wa mabasi ya Tandika na Mbagala , lakini taratibu tunatarajia watatinga hata kule kwenye mabasi ya mwendokasi , maana taarifa zinadokeza kwamba uhuru waliopewa hauna mipaka .
Ikumbukwe kwamba Wapiga debe walishaingia humo kitambo kirefu tu .
Kadhia hii iko upande wa mabasi ya Tandika na Mbagala , lakini taratibu tunatarajia watatinga hata kule kwenye mabasi ya mwendokasi , maana taarifa zinadokeza kwamba uhuru waliopewa hauna mipaka .