Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,111
Amebeba wabunge wote waliokosa ubunge mwaka jana mkoani Arusha mpaka mwenyekiti wa CCM Arusha.Kihistoria mji mkuu wa Nairobi ni mji wa Masai na ndio chimbuko lao.
Haha, swali gumu sana, sidhani kama utapata jibu la kukuridhisha hapaKwahiyo Edward Lowassa ni mukenya
