Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,348
- 16,576
Ni Ole Sendeka sio Makamba.
Pia amesema kwa wale wanaomtukana Baba wa Taifa kwenye Mitandao; Kwamba alikuwa ni Dikteta na Haambiliki watafutwe na Serikali ili tuwatenge sababu hawaitakii mema nchi yetu...
My Take
Nadhani kwa kufanya hivyo itakuwa ni Udikteta..., where is freedom of speech
Pia amesema kwa wale wanaomtukana Baba wa Taifa kwenye Mitandao; Kwamba alikuwa ni Dikteta na Haambiliki watafutwe na Serikali ili tuwatenge sababu hawaitakii mema nchi yetu... My TakeNadhani kwa kufanya hivyo itakuwa ni Udikteta..., where is freedom of speech
Ni Ole Sendeka sio Makamba.