mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
wanajamvi ,mbunge wa arumeru magharibi ole madee siku hizi yupo wapi ambaye alivuliwa uwaziri,ni yule ambaye lema alimuita bomu linalokaribia kulipuka,yule ambaye anashutumiwa kupanda mbegu ya ukabila arusha,kwenye bunge la katiba simuoni kabisa yupo huyu mzee jimboni kwake simsikii wananchi wake wanamuulizia kuna ahadi tangu akalie kiti cha ubunge wake hajatimiza