OIC - Zanzibar kujiunga kivyake vyake

Huko ndo kulazimisha udugu sasa, kwamba sisi tu Bara ndo twaujua huo udugu? . watu ambao hadi leo hii tukienda kwao twaitwa kila aina ya majina ya kejeli mara watuite chogo, mnyamwezi (hii ikiwa na maana ya watumwa)na kafiri.

Wabara gani wanaojitanua zanzibar kama wao wajitanuavyo huku Bara. ? .mawazo ya kuendelea na muungano kwa muundo huu wa sasa ni mawazo ya ukoloni. Na hili la kuwaamulia wazanzibar juu ya mambo yao ipo siku litaigarimu tanganyika kama sio leo kesho.
Hakuna mtu analazimisha Muungano, bali Muungano wetu adhimu ni udungu wa damu baina yetu. Kwa Wazanzibari asili na halisi wanapenda Muungano, na asili ya halisi ya Zanzibar ni sehemu ya Azania ikamegeka miaka milioni nyingi nyuma.
P

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
 
Huko ndo kulazimisha udugu sasa, kwamba sisi tu Bara ndo twaujua huo udugu? . watu ambao hadi leo hii tukienda kwao twaitwa kila aina ya majina ya kejeli mara watuite chogo, mnyamwezi (hii ikiwa na maana ya watumwa)na kafiri.

Wabara gani wanaojitanua zanzibar kama wao wajitanuavyo huku Bara. ? .mawazo ya kuendelea na muungano kwa muundo huu wa sasa ni mawazo ya ukoloni. Na hili la kuwaamulia wazanzibar juu ya mambo yao ipo siku litaigarimu tanganyika kama sio leo kesho.

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
Pascahl kaishafaulu kukutoa kwenye reli. Muungano ni mkataba ambao wewe huuongelei na ndipo mnapopigwa bao wenye mawazo kama yenu.

Endelea kuogelea kwenye hoja za Paschal.
 
Mkuu. Kwamba huo mkataba ni msahafu usio badirika. ?
Pascahl kaishafaulu kukutoa kwenye reli. Muungano ni mkataba ambao wewe huuongelei na ndipo mnapopigwa bao wenye mawazo kama yenu.

Endelea kuogelea kwenye hoja za Paschal.

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
 
kumbuka Zanzibar jibu ililopewa na CAF kwamba maana nchi inatoka UN na kule Zanzibar haihesabiki kama nchi.

Mkuu Zanzibar ilijiunga na kukubaliwa ndani ya OIC. Ilijitoa kwa shindikizo la serekali ya Muungano. Kwaiyo wanao uwezo wa kujiunga na kukubaliwa.
Na kuhusu FIFA sio lazima uwe member wa UN, Scotland, Wales wote ni wanachama wa FIFA na hawamo kwenye UN. Tatizo la Fifa ni kuwa tayari kuna muwakilishi ambaye anatambulikana kama Tanzania. na Zanzibar tayari imo ndani ya Tanzania kwahiyo wakipewa uwanachama watakua nisawa nakua na nafasi mbili. KInachotakiwa ni Mwanachama Tanzania avunjwe waingie wawili ambao ni Zanzibar na Tanganyika. ambao weshirka wenzao wa Muungano hawapotayari kwa hilo.
 
Mkuu Zanzibar ilijiunga na kukubaliwa ndani ya OIC. Ilijitoa kwa shindikizo la serekali ya Muungano. Kwaiyo wanao uwezo wa kujiunga na kukubaliwa.
Na kuhusu FIFA sio lazima uwe member wa UN, Scotland, Wales wote ni wanachama wa FIFA na hawamo kwenye UN. Tatizo la Fifa ni kuwa tayari kuna muwakilishi ambaye anatambulikana kama Tanzania. na Zanzibar tayari imo ndani ya Tanzania kwahiyo wakipewa uwanachama watakua nisawa nakua na nafasi mbili. KInachotakiwa ni Mwanachama Tanzania avunjwe waingie wawili ambao ni Zanzibar na Tanganyika. ambao weshirka wenzao wa Muungano hawapotayari kwa hilo.

Uingereza wanao wanachama wanne FIFA, wewe Zanzibar umekataliwa.
 
Uingereza wanao wanachama wanne FIFA, wewe Zanzibar umekataliwa.

Uingereza wana wanachama wanne kwasababu hakuna mwanachama aliyejiunga akabeba jina la nchi. Kila mmoja kaingia kwa kupitia eneo lake. England wameeingia kama England nasio UK na ndio mana wenziwe nao wakapata nafasi za kujiunga. ILa hapa kwetu Tanganyika wamejibebesha Utanzania matatizo yote hapo ndipo yanapoanzia.
 
Zanzibar haiwezi kuruhusiwa kujiunga na OIC kwa sababu Zanzibar sio nchi. Kuiruhusu kujiunga itakuwa yaleyale ya uvunjaji katiba. Muungano wetu ni kama ndoa. Mke akililia sana kula chapati maji, ukamkatalia kwa vile wewe hupendi kula chapati hizo, akifikia hali ya kuomba kupika chapati hizo angalau ale yeye tuu na wewe usile. Kama mume mwenye busara, utamruhusu apike chapati maji na ili kumuonyesha unampenda, itabidi na wewe ukubali kula hizo chapati maji.
Katika suala la OIC, Zanzibar ni mke na OIC ni chapati maji. Ili kudumisha ndoa yetu ya muungano,itabidi URT ijiunge na OIC hata kama haipendi ili Zanzibar ipate chapati maji.
Hata magufuli keshavunja katiba Mara nyingi tu .ndugai nae keshavunja katiba Mara nyingi tu na haikua kitu au usha sahau ?
Na kwani jamuhuri ya muungano wa tanzania ni nchi au ni jina la muungano?
 
Uingereza wana wanachama wanne kwasababu hakuna mwanachama aliyejiunga akabeba jina la nchi. Kila mmoja kaingia kwa kupitia eneo lake. England wameeingia kama England nasio UK na ndio mana wenziwe nao wakapata nafasi za kujiunga. ILa hapa kwetu Tanganyika wamejibebesha Utanzania matatizo yote hapo ndipo yanapoanzia.

California na Florida iko FIFA?
 
Zanzibar haiwezi kuruhusiwa kujiunga na OIC kwa sababu Zanzibar sio nchi. Kuiruhusu kujiunga itakuwa yaleyale ya uvunjaji katiba. Muungano wetu ni kama ndoa. Mke akililia sana kula chapati maji, ukamkatalia kwa vile wewe hupendi kula chapati hizo, akifikia hali ya kuomba kupika chapati hizo angalau ale yeye tuu na wewe usile. Kama mume mwenye busara, utamruhusu apike chapati maji na ili kumuonyesha unampenda, itabidi na wewe ukubali kula hizo chapati maji.
Katika suala la OIC, Zanzibar ni mke na OIC ni chapati maji. Ili kudumisha ndoa yetu ya muungano,itabidi URT ijiunge na OIC hata kama haipendi ili Zanzibar ipate chapati maji.
Hao hao Waislam anaowachukia ndiyo waliomsaidia katika maisha yake,
Shukran ya punda mateke.
CC Mohamed Said
P
 
Back
Top Bottom