OIC kulindima Barazani Znz wiki hii

Barubaru

JF-Expert Member
Apr 6, 2009
7,161
2,323
Nilikuwa nashangaa sana kuona kwamba wawakilishi wetu kwenye Baraza la wawakilishi hawajatoa tamko lolote kuhusiana na sakata la tanzania kujiunga na OIC.

Tunajuwa na tunafahamu fika Znz ilishajiunga na Jumuia hiyo ila kutokana na muundo wa katiba ya muungano, ambapo masuala yote ya mahusiano ya kimataifa yatafanywa na Jamuhuri ya muungano. hapo tukakwama.

sasa tungoje kauli wiki hii toka barazani kama walivyoitoa kuhusu mafuta na gesi asilia.

BRAVO WAWAKILISHI ZNZ
 
Nilikuwa nashangaa sana kuona kwamba wawakilishi wetu kwenye Baraza la wawakilishi hawajatoa tamko lolote kuhusiana na sakata la tanzania kujiunga na OIC.

Tunajuwa na tunafahamu fika Znz ilishajiunga na Jumuia hiyo ila kutokana na muundo wa katiba ya muungano, ambapo masuala yote ya mahusiano ya kimataifa yatafanywa na Jamuhuri ya muungano. hapo tukakwama.

sasa tungoje kauli wiki hii toka barazani kama walivyoitoa kuhusu mafuta na gesi asilia.

BRAVO WAWAKILISHI ZNZ
nafikiri kuna suala la kutafsiri katiba ya Jamhuri ya Muungano na vifungu vyake. Hapo mwanzo tumeingizwa mkenge. Nafikiri tu kwa sababu ya Wa-bara nao (sehemu yao) walitaka kujiunga na OIC- ndio maana ya ugumu na malumbano makubwa ya suala hilo. Sasa na tutafsiri vifungu vya katiba ya Jamhuri ya Muungano. Tutafsiri vipengele vinavyoiweka SMZ na Baraza la wawakilishi . Tutafsiri mamlaka waliyopewa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Baraza la wawakilishi (na hiyo hiyo Katiba ya Jamhuri) ya kuwahudumia wananchi wa Zanzibar. Basi, baraza la wawakilishi litatoka na uamuzi. Na kwa tafsiri ya katiba hiyo hiyo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Zanzibar (kama Zanzibar inayoishia Chumbe) itakuwa huru kujiunga na OIC. Membe ataitika Labek tu!!!!!
 
Last edited:
Back
Top Bottom