fimboyaukwaju JF-Expert Member Joined Aug 3, 2020 Posts 6,581 Reaction score 9,073 Jun 30, 2026 #1 Pacome kaumizwa,zile picha zinaashiria kitu kibaya,yule mchezaji mwenyewe aliyemuumiza alificha uso wake kwa huzuni na aibu
Pacome kaumizwa,zile picha zinaashiria kitu kibaya,yule mchezaji mwenyewe aliyemuumiza alificha uso wake kwa huzuni na aibu
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 54,921 Reaction score 53,932 Jun 30, 2026 #2 Atapata nafuu kabla ya ligi kurejea
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 11,616 Reaction score 25,568 Jun 30, 2026 #3 Asipotibiwa ulaya kwaheri ya maisha
bucho JF-Expert Member Joined Jul 13, 2010 Posts 5,175 Reaction score 3,275 Jun 30, 2026 #4 Kaumizwa mnoooo aiseeee . Attachments IMG-20260630-WA0048.jpg 22.5 KB · Views: 13
secretarybird JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 21,310 Reaction score 43,509 Jun 30, 2026 #5 Masikitiko!
KOROSHO BOMBA Senior Member Joined May 11, 2024 Posts 170 Reaction score 281 Jun 30, 2026 #6 bucho said: Kaumizwa mnoooo aiseeee . Click to expand... Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza.
bucho said: Kaumizwa mnoooo aiseeee . Click to expand... Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza.
B Barnabas Mashamba JF-Expert Member Joined Jul 4, 2020 Posts 1,077 Reaction score 2,880 Jun 30, 2026 #7 KOROSHO BOMBA said: Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza. Click to expand... Akatibiwe alikotibiwa Jamali Musiala na Luke Shaw, fasta tu anarejea mchezoni.
KOROSHO BOMBA said: Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza. Click to expand... Akatibiwe alikotibiwa Jamali Musiala na Luke Shaw, fasta tu anarejea mchezoni.
Mwafrikamtanzania JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 1,064 Reaction score 1,347 Jun 30, 2026 #8 Mtoto halali na hela said: Atapata nafuu kabla ya ligi kurejea Click to expand... Na iwe hivyo, Mungu amjaalie.
Mtoto halali na hela said: Atapata nafuu kabla ya ligi kurejea Click to expand... Na iwe hivyo, Mungu amjaalie.
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 24,373 Reaction score 24,108 Jul 1, 2026 #9 Ulaya wanakwambia kuvunjika kule kunatibika na unarudi kucheza fresh tu, ila matibabu sahihi yanaanzia kulekule uwanjani, mkikosea kuuweka sawa pale uwanjani kipindi anatolewa kwa machele basi ndio bye bye kwenye soka.
Ulaya wanakwambia kuvunjika kule kunatibika na unarudi kucheza fresh tu, ila matibabu sahihi yanaanzia kulekule uwanjani, mkikosea kuuweka sawa pale uwanjani kipindi anatolewa kwa machele basi ndio bye bye kwenye soka.
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 22,574 Reaction score 45,165 Jul 1, 2026 #10 Kwa matibabu sahihi anapona vinginevyo uwezekano wa kurejea uwanjani kusakata kabumbu ni wa mashaka
Igombe fisherman JF-Expert Member Joined Apr 28, 2017 Posts 2,262 Reaction score 4,052 Jul 1, 2026 #11 Huku usukumani mtu anatibiwa kienyeji mwezi mumoja tu anarudi hali ya kawaida na shughuri zake zinaendelea
Huku usukumani mtu anatibiwa kienyeji mwezi mumoja tu anarudi hali ya kawaida na shughuri zake zinaendelea