bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
Mimi naaminu huo ndo mwaka wake wa kuzaliw. Kwa umri huu lazima ukutane na senior bachelorsRebeca hiyo 83 Ndio Mwaka wako wa kuzaliwa?
Teh teh, hata waliopo ndani hawaipati hiyo huduma. Huyu jamaa atakuwa na msururu.Mmh wewe mbona ni kama umeoa sasa
Teh hatariiiiTeh teh, hata waliopo ndani hawaipati hiyo huduma. Huyu jamaa atakuwa na msururu.
Nadhani Dizaini Hii Ndio Inakufaa, Maana Zile Shughuli Zote Za Nyumbani Unazozikwepa Zitakuwa Katika Mikono Salama.Wengi wameshazoea kukaaa wenyewe, kujipikia kujifulia, na kama ni sex wanamvuta mtu ndani occasionaly sasa wewe jisogeze uumie hisia.
Bado Rank Za Upande Wa Pili, Haaahaaahaaaaa!!bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
Mpwa mbona hujaweka kuanzia miaka 70 wanaitwaje....!!???
Chief bachelor napita. Uwe kwenye ndoa, uwe peke yako kama hujajiunganisha na wewe mwenyewe upweke utakutafuna, kuna saa utalia, kuna saa utatamani utoke ndoani, kuna saa utatamani uingie ndoani.
Upweke ni episodes na si full time life experience. Ukimkuta full time loner huyo ni mgonjwa wa akili; hata ndoani wapo.
Kuogopa uzee wa peke yako ni woga tu. Wee sasa hivi waza ukizeeka utakula vipi, utatibiwa vipi na utalala wapi kwa jasho lako. Hesabia watoto au mwenza at your own risk. Kuna field marshal mmoja wa kike dar amefariki hivi karibuni akiwa na miaka 93 lakini hakuwahi kupungukiwa katika uzee wake. Alikuwa na watu hata wasio ndugu waliokuwa wakimtunza, alikuwa ameajiri dereva wa kumpeleka anakotaka, mtu wa kumfanyisha mazoezi ya viungo n.k. Swala ni umecheza vipi ligi yako.
Kuchanganya kuosha vyombo na ndoa au ubachela ni udhaifu katika kupambanua. Mimi ni chief bachelor lakini sifui wala kuosha vyombo. Kuna wanandoa hawafui, kuna wanaofua. Kupika, kufua au kuajiri mpishi au kula magengeni ni uchaguzi binafsi, ni life style ya mtu. Kuhusianisha kazi za nyumbani na kuoa ni kusema mwanamke anaolewa ili akafulie au kupikia mwanaume tafsiri ambayo haina tofauti na ujakazi.
Kusema wanaume wasiooa hawawezi kupewa majukumu makubwa yakiwemo kuongoza nchi kwa sababu wameshindwa kuongoza familia ni ufinyu wa fikra uliosababishwa na jamii kuwaza ngono na kutotambua maana na thamani ya kiongozi. Kuna field marshall kusini mwa afrika anaongoza nchi vizuri tu, nchi ndogo lakini inaongoza ku-export nyama ya ng'ombe wakati idadi yao ya ng'ombe ni chini ya robo ya ng'ombe wetu, na kuna mwanaume mwanandoa mmoja kwenye nchi nyingine hapa hapa kusini mwa jangwa la sahara ananyanyasa mke, kazaa na mtoto aliyekabidhiwa amlee, ana hasira balaa lakini kapewa nchi anaongoza. Pia asilimia kubwa ya wanawake waliofanikiwa hata katika uongozi ni field marshals au divorcees lakini wao wanaitwa women of substance. Double standards.
Binafsi naheshimu waliochagua ndoa na waliochagua kuwa peke yao. Yote ni maisha mazuri na changamoto zake ni zile zile japo zinaweza kutofautiana sura, mfano, wote wanakabiliwa na changamoto za committment na uaminifu kwenye machaguo yao. Sitaponda ndoa kwa sababu nimeona ndoa zenye machungu na mahangaiko mengi (nimewahi kufanya hivyo) kwani zipo nzuri, na sitaponda wanaoishi peke yao kwani wapo wenye amani sana. Wote wanahitaji kitu kimoja tu: kulenga vitu vya thamani kwenye maisha. Ukipita njia ya ndoa, huyu akapita isiyo ya ndoa makutano ni mamoja. Afterall siku ya mazishi hali ya ndoa hutajwa kwenye mstari mmoja tu "marehemu ameacha mja/gane na m/watoto kadhaa. Vile vinavyochukua sehemu kubwa ya wasifu wa marehemu ndo vya muhimu. Hivyo tunaondoka navyo.
kuna jamaa yangu anamika 55 hadi leo anasema "sisi vijana bwana"bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
kwa maboss wakike wanawafaa sana, hata ukisafiri mwezi utamkuta tu kwani kwake kufua kupika sio tatizo, ila hawapendi kushurutishwa,Wengi wameshazoea kukaaa wenyewe, kujipikia kujifulia, na kama ni sex wanamvuta mtu ndani occasionaly sasa wewe jisogeze uumie hisia.
tisha sana!!!!bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
Fact!!!!!Kwa kweli kila siku najivunia na naona fahari kukaa kando na pirika pirika za mapenzi....ni kama vile nimeutua mzigo mzito kichwan na moyoni.......
Kuishi kibachela ni raha sana.....kwani kila kitu kinakuwa under your control.......
Sikirii hata kuoa....na sijui kama tena nitaweza kuishi na mwanamke.........
Mwenyewe unapanga ule nini.....unapanga ndani kwako paweje......na mpangilio wa vitu vyako vinakuwa bora sana.....
Chumbani kwako kunakuwa kama paradiso ndogo.....ni mahali ambapo unatuliza moyo wako na pirika pirika za mji na maisha.....
Muda huu nipo zangu ndani kimya....huku nimeshika kitabu nikiongeza maarifa.....nikisindikizwa na mixing kali za wakina BOYZ II MEN.....Joe Thomas.....R Kelly.....bila ya mkuwasahau wakali blue....kama Ken G....na Bryan Adam.....mimi ni ndani tu......jikoni nikisubiri mchanganyiko wa ndizi na nyama viive nishushie na juice ya embe..........
Its lots of funny here......
Tupoooo!Tupoooo!Ndani ya Bongo maana mademu na mabinti wamezidi mbwembwe ila huwa TUNAWAVUTIA Guest House ili wasituchafulie mashuka.Wengi wameshazoea kukaaa wenyewe, kujipikia kujifulia, na kama ni sex wanamvuta mtu ndani occasionaly sasa wewe jisogeze uumie hisia.
Heheheh soseji...
Hii picha kama anaelekeza kufanya kitu fulani kwa ufanisi hivi......
bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29 yrs - Senior Bachelor
30 - 33 yrs - Principal Bachelor
34 - 37 yrs - Deputy Chief Bachelor
38 - 40 yrs - Chief Bachelor
41 - 48 yrs - Bachelor General
49 - 53 sponsor
54 yrs............Field Marshall.
C&P
Tena wazee wanajua kugonga kizamani na kisasa hapo ndio siri ya wazee ilipo lkn wazee wa kibantu...wanaowaita wazee hawajui siri ya umri huo. Au labda nao ni watoto.