Ogopa kuuziwa ardhi na matapeli

Ogopa kuuziwa ardhi na matapeli

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Je unataka kujua coordinates za eneo lako ili ukaconfirm ardhi kujua anaekuuzia ndiye mmiliki halisi wa kiwanja? Je unataka kuhakikisha kama size ya eneo ulilouziwa ni sahihi kama ilivoandikwa kwenye karatasi? Basi Ondoa shaka,Garmin eTrex 10 (ni mpya na ilinunuliwa S.A.) itakujibia maswali yako yote na utajua coordinates na ukubwa wa eneo unalotaka kuuziwa.
Wasiliana na mimi kabla hujatapeliwa au kuuziwa eneo ambalo ni dogo.

Pia nakodisha hii device kwa 50,000 kwa siku (40,000/= ni gharama ya kukodi na 10,000/= ni gharama ya mtu wangu ambae mtaongozana nae).

Note: Betri yabidi ugharamie wewe+ Kazi ya mtu wangu ni kuhakikisha mashine iko salama na si kukupimia na shughuli nyingine.

In addition, kazi yetu si kusurvey bali ni kukupa coordinates za eneo lako na kukupimia tu na yote ni kwa sababu ya hichi kifaa.

0718 790 561
 
Je unataka kujua coordinates za eneo lako ili ukaconfirm ardhi kujua anaekuuzia ndiye mmiliki halisi wa kiwanja? Je unataka kuhakikisha kama size ya eneo ulilouziwa ni sahihi kama ilivoandikwa kwenye karatasi? Basi Ondoa shaka,Garmin eTrex 10 itakujibia maswali yako yote na utajua coordinates na ukubwa wa eneo unalotaka kuuziwa.
Wasiliana na mimi kabla hujatapeliwa au kuuziwa eneo ambalo ni dogo.

Pia nakodisha hii device kwa 50,000 kwa siku (40,000/= ni gharama ya kukodi na 10,000/= ni gharama ya mtu wangu ambae mtaongozana nae).

Note: Betri yabidi ugharamie wewe.
KUna mashine kama hii iliibiwa kwa senior surveyor
kwenye mradi wa barabara
Tunduma Sumbawanga
ilikuwa ya njano na nyeusi
 
tutajuaje na wewe kama sio tapel.kuna jiran yangu hapa walikuja watu kama nyiny wakampimia na kumuwekea bikoni,kumbe ni matapel wa kutupa na tulivyoenda ardh hakuna bikoni hata moja inayosoma
 
KUna mashine kama hii iliibiwa kwa senior surveyor
kwenye mradi wa barabara
Tunduma Sumbawanga
ilikuwa ya njano na nyeusi

Nashukuru kwa kunihabarisha kua hizi device zinaibiwa so have to be more careful.Thanks again
 
tutajuaje na wewe kama sio tapel.kuna jiran yangu hapa walikuja watu kama nyiny wakampimia na kumuwekea bikoni,kumbe ni matapel wa kutupa na tulivyoenda ardh hakuna bikoni hata moja inayosoma

Soma tangazo na utaelewa vizuri.Mimi sio surveyor
 
Back
Top Bottom