Bossladies
Member
- Jul 6, 2022
- 26
- 68
Nina shida na utumishi lakini niko dsm hivi Wana dirisha la kuwasilisha malalamiko kwa hapa dms na ofisi zao kwa hapa dar ni wapi au Hadi niende Dodoma msaada kwa anaejua anielekeze tafadhali
Utumishi ofisi zao kwa hapa Dar zinapatikana Posta, barabara ya kuelekea kivukoni.Nina shida na utumishi lakini niko dsm hivi Wana dirisha la kuwasilisha malalamiko kwa hapa dms na ofisi zao kwa hapa dar ni wapi au Hadi niende Dodoma msaada kwa anaejua anielekeze tafadhali