Umejeruhiwa mno unahitaji Msaada?Habari zenu mabibi na mabwana,napenda kujua na kufahamu zilipo ofisi za Redcross kwa hapa Dar ama kama kutakuwa na staff wa redcross humu ndani kuna kitu nataka nimuulize
Zimepakana na Clouds Media Mikocheni.Habari zenu mabibi na mabwana,napenda kujua na kufahamu zilipo ofisi za Redcross kwa hapa Dar ama kama kutakuwa na staff wa redcross humu ndani kuna kitu nataka nimuulize
Hata mm nahisi hivyo..Ukute umekutana na wale Wazee wa Employment