Watanzania tubadilike jamani,hivi ni kweli mtu unaweza kuingia JF kuanzisha mada kama hii wakati bodi wana website na mpaka leo tangazo lao la kuelekeza mahali ofisi yao ilipo ikiwa ni pamoja na picha yake?.Tujishughulishe kidogo ingekuwa umeitwa kwenye usahili wa kazi ungeyafanya haya?