Ofisi za AG na DPP kuna nini?

... Umeeleza vema, lakini why JPM asiende one step further kufanya maamuzi ya kutenganisha the two? Surely huu msuguano ni wa muda mrefu na possibly hata JPM anajua vizuri hilo tatizo. Alimalize hilo tatizo once and for all.
 
Umeandika mengi lakini hujui unachokieleza
Katika hali ya kawaida kabisa sio rahisi kukosoa kitu ambacho hukielewi ndio maana umeishia kusema "sijui ninachokieleza" kwa kuwa hoja ya msingi huijui wala huwezi kuitolea maelezo! Aibu yako hiyoo!
 
Oy state attorney kwa sasa wanalipwaje?
 
... Umeibua hoja mujarab sanaa mkuu, unajua at one point nimeona kwamba hofu kuu ya AG kutaka aendelee kumuweka DPP kwenye mbawa zake ni kwamba hiyo directorate ingawa ni moja out of more than five kama nilivyoona kwenye organogram, it is very powerful and possibly with highest budget. Sasa hapa ndipo maamuzi magumu yanahitajika ili kutenganisha the two hata kama mmoja hataki. In fact hili likidanyika huyu AG atakuwa na muda wa kutosha kuishauri vema serikali kwenye mikataba mikubwa kuondokana na mambo ya Tanesco, madini etc. On the other hand DPP naye atakuwa na authority, funds na muda wa kutosha kufuatilia kesi za jinai ili kukomesha serikali kushindwa, lakini pia mapolisi wanaobambikia watu kesi.
 
yaani hicho ndicho alichopambana Feleshi, hadi wakamuundia zengwe aondolewe kwasababu waliona anaenda kushinda na kuiweka hiyo ofisi independent jambo ambalo lingekuwa na faida sana kwa raia wa tz. kesi nyingi kuchukua muda mrefu, kesi nyingi kushindwa na matatizo yoote hayo yanasababishwa na kutokuwa independent kwa DPP.

kitu cha ajabu ni kwamba, AG anazo shunguli nyingi tu. anacho pale kitengo cha MIKATABA, hicho tu kinatosha kumfanya awe busy kufanya utafiti na kuisoma vizuri ili tusiingizwe mkenge, anacho kitengo cha human rights na vitengo vingine, hivyo vyote vitamfanya awe busy. sasa yeye anang'ang'ania hata DPP ambaye pia ni mteuliwa aendelee kuwa chini yake kusudi bajeti inapokuja kwake ije kubwa, na huko kwa DPP haifiki nyingi. RAIS TENGANISHA HIYO OFISI ILI UTENDAJI UWE MZURI.
 
Offcourse ww siyo wakili. Umedandia tu. Hujui chochote. Bora hata ungesoma Gazeti la Mwanchi la tarehe 3/02/2017.
 
Acha maneno ya vijiwe vya kahawa wewe, sidhani kama unafahamu unachokizungumza. Kwanza aliyekwambia ofisi ya DPP ipo chini ya polisi ni nani!? Then kwenye prosecution kuna maslahi yapi hayo ambayo huyataji hadi useme eti vijana wa AG wananufaika? Unaufahamu muundo wa ofisi ya AG na DPP ni nini ndani ya ofisi ya AG?
 
lakini tujipe moyo, kama rais mwenyewe anaelewa picha ya movie, labda yuko mbioni kufanya mabadiliko makubwa.
 
Mmm, DPP ni department ndani ya ofisi ya AG?

Binafsi huwa naamini, ukimwacha Rais DPP ndiyo mtu mwingine mwenye mamlaka mikubwa sana ktk nchi hii.
ndio hivyo mkuu. katiba imeunda nafasi ya DPP ila kimuundo DPP ni moja ya idara za ofisi ya AG. kiutendaji DPP haingiliwi na mtu kwenye maamuzi yake wakati wa kuendesha kesi, kiutawala DPP immediate boss wake ni Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. AG ni the overall boss lakini hausiki na uendeshaji wa ofisi, Naibu AG ndio mtawala
 
Ukiwa huna uhakika na unachojua jihesabu hujui kitu. Kwa akili yako DPP ndo Polisi?
 
kivukoni naomba tofauti ya AG na DPP,DCI na AGA,DCP halafu IGP na DCI..

Majukumu yao,nani analipoti kwa mwenzake na kadharika.
 
JPM mwenyewe alipotoshwa kuhusu Feleshi kamnyima ujaji mkuu, lakini nadhani baada ya huyu CJ, Feleshi ndiye atafuata sababu umri wake bado mdogo na pia alikuwemo miungoni mwa watatu walokuwa wamebakia during vetting.
 
Kwahiyo Kwa kusema hivyo unaunga mkono ufisadi we pumbaafuu kweli
 
finally nasikia hiyo ofisi wameshaitenganisha, AG na DPP wametengana rasmi. sijui kama ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…