karama kaila
Senior Member
- Jan 30, 2015
- 122
- 60
mbona hata CHADEMA tangia ianzishwe haijajenga hata ofisi moja nchi nzima zaidi ya kuishia kupanga kwenye vibanda. hata ofisi kuu ya akina Mbowe jengo lile siyo LA kwenu mmepanga. hivyo kabla hujaicheka ACT washauri kwanza chama chako kijenge hata ofisi moja tu
mbona hata CHADEMA tangia ianzishwe haijajenga hata ofisi moja nchi nzima zaidi ya kuishia kupanga kwenye vibanda. hata ofisi kuu ya akina Mbowe jengo lile siyo LA kwenu mmepanga. hivyo kabla hujaicheka ACT washauri kwanza chama chako kijenge hata ofisi moja tu
Watz be careful na chama hichi!
Mbona naona fence tu ilopakwa rangi za act wakat Ofc hakuna
kwani mtoa mada ni mwanachadema mpaka point of reference iwe chadema na isiwe TLP
kwani mtoa mada ni mwanachadema mpaka point of reference iwe chadema na isiwe ACT
View attachment 254060
Ofisi ya Mkoa Iringa ipo Iringa mjini Dodoma Road kituo ni Idara ya maji (iruwasa) eneo ni Gangilonga.
Karibuni sana
![]()
Ofisi ya Mkoa Iringa ipo Iringa mjini Dodoma Road kituo ni Idara ya maji (iruwasa) eneo ni Gangilonga.
Karibuni sana