MPALESTINA MWEUSI
Senior Member
- Jun 6, 2012
- 140
- 117
Hivi karibuni tuliskia taarifa za idadi ya watanzania amabapo tuliambiwa wakristo ni 52 percent na waislam ni 34 percent lakini ofisi ya takwimu ya taifa imekanusha na kusema huo ni uzushi sasa sijui hii ofisi ya waziri mkuu ambayo taarifa zilianzia huko ilikuwa na lengo gani. Mie naona hapa kuna kutumiwa.