A
Anonymous
Guest
Nimetuma maombi ya cheti cha kuzaliwa toka tarehe 2.8.2025 na maombi yameshalipiwa lakini watu wanaokaa kwenye mfumo wa kupitisha hivyo vyetu hawafanyi kazi Yao ipasawavyo
Wabadilike vipi wakati Wana Mishahara minono tayari na safari kila kukichaRITA wao ni kulalamikiwa kila siku wala hawaoni haja ya kubadilika
Niliomba kubadilishiwa cheti kutoka cha zamani kuja kipya na kulipia kabisa wilaya ya Ubungo lakini karibia miezi sita hakuna maendeleo yeyoteNimetuma maombi ya cheti cha kuzaliwa toka tarehe 2.8.2025 na maombi yameshalipiwa lakini watu wanaokaa kwenye mfumo wa kupitisha hivyo vyetu hawafanyi kazi Yao ipasawavyo