loupa Senior Member Joined Jul 22, 2016 Posts 124 Reaction score 78 Oct 8, 2022 #1 Naomba kufahamishwa anayejua wanapochapisha mabango na sticker kwa mji wa TABORA
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,069 Reaction score 184,794 Oct 8, 2022 #3 Ngoja waje kukupa muongozo...
W Wa mbekenyeraa Member Joined Apr 8, 2021 Posts 38 Reaction score 85 Oct 8, 2022 #4 Nenda pale jengo la NSSFTabora, kuna jamaa anaitwa Akida na ofisi yake iko hapo inaitwa Sama, wapo vizur sana huwa tunamtumia kwa kazi zetu za ofisini
Nenda pale jengo la NSSFTabora, kuna jamaa anaitwa Akida na ofisi yake iko hapo inaitwa Sama, wapo vizur sana huwa tunamtumia kwa kazi zetu za ofisini