Ofisi ya DPP ikaliwe na watu wenye IQ kubwa, Busara na Hekima, ila IQ kubwa kiwe kigezo Kikuu, yaan Hadi Mwabukusi alishtakiwa Kwa kosa la UHAINI?

Ofisi ya DPP ikaliwe na watu wenye IQ kubwa, Busara na Hekima, ila IQ kubwa kiwe kigezo Kikuu, yaan Hadi Mwabukusi alishtakiwa Kwa kosa la UHAINI?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
UHAINI ? Jinai ambayo adhabu yake ni Kunyongwa .

Kwa Tanzania mambo ni tofauti kabisa, Mwabukusi Alisema, nitawaongoza watanzania kwenye maandamano suala la DP World, eeehhh maajabu Polisi na DPP wakamfungulia Shitaka la UHAINI.


UHAINI imekua ni lugha laini na nyepesi sana kutajwa na DPP ,PT .



Kwa hakika Heri Nguo kuraruka kuliko AKILI.
 
Changamoto kubwa siyo IQ, ni utu au ubinadamu.
Wakati mwingine ukatili na uovu mkubwa hutendwa na wenye IO kubwa.
Hata hivyo, IQ ndogo ikiwa kwenye nafasi za maamuzi, matatizo huongezeka.
 
Kuingoza nchi hakuhitaji IQ kubwa na ndio maana sijawahi sikia Marekani imeongozwa hata na mwenye PHD
Kinachotakiwa ni Political Science tu, hayo mambo yako ya IQ utasubili sana mwanawane.
 
UHAINI ? Jinai ambayo adhabu yake ni Kunyongwa .

Kwa Tanzania mambo ni tofauti kabisa, Mwabukusi Alisema, nitawaongoza watanzania kwenye maandamano suala la DP World, eeehhh maajabu Polisi na DPP wakamfungulia Shitaka la UHAINI.


UHAINI imekua ni lugha laini na nyepesi sana kutajwa na DPP ,PT .



Kwa hakika Heri Nguo kuraruka kuliko AKILI.
We umepima IQ ya kwako?
 
Sema hv, kiti cha magogoni kikaliwe na mtu mwenye IQ kubwa, hao wa chini wanapokea maagizo tuu ila tatizo ni pale juu!!.
 
UHAINI ? Jinai ambayo adhabu yake ni Kunyongwa .

Kwa Tanzania mambo ni tofauti kabisa, Mwabukusi Alisema, nitawaongoza watanzania kwenye maandamano suala la DP World, eeehhh maajabu Polisi na DPP wakamfungulia Shitaka la UHAINI.


UHAINI imekua ni lugha laini na nyepesi sana kutajwa na DPP ,PT .



Kwa hakika Heri Nguo kuraruka kuliko AKILI.
 

Attachments

  • 6026553-bf15b8f6f927c72fa16d6bb328a5e41f.mp4
    14.1 MB
Hapo kuna mambo mawili.

1- ni kweli wanaoshutumiwa kwa makosa ya uhaini, wanakuwa na makosa kulingana na matamshi yao, kwa mujibu wa sheria na hapo DPP anakuwa sahihi.

2- ni sababu zinazopelekea wao kuingia makosani ni POLITICS, ko inafanya hayo makosa yaonekane ni kama wanasingiziwa, kwa kuwa hata wenye mamlaka wanachukulia mambo kirahisi na kisiasa zaidi, mfano wa ishu ya huyo mwanasheria, mwenyekiti mstaafu na hata ishu ya huyu mwenyekiti wa sasa, wote wana kauli zinazochochea machafuko na hali ya hatari, ila siasa ndo inadrive maamuzi ya matendo yao.
 
Kuingoza nchi hakuhitaji IQ kubwa na ndio maana sijawahi sikia Marekani imeongozwa hata na mwenye PHD
Kinachotakiwa ni Political Science tu, hayo mambo yako ya IQ utasubili sana mwanawane.
Msome Tena mleta uzi! Ni wapi kaitaja nchi? Ofisi ya dpp ni nchi? Uchawa unawapofua macho na ubongo?
 
Wanaoharibu uchaguzi wanaachwa tu.
View attachment 3302674
Aisee🤔🤔

Very fantastic and amazing compilation...

Hawa maPolisi kwenye mikutano na vikao vya CCM wanakwendaga kufanya nini? Haya si ndiyo yanayolalamikiwa...?

Haya maneno ya Polisi kwenye vikao vya CCM si ndiyo tuhuma zinazowakabili?

Kwa ushahidi huu, hawa Polisi wakiwa kwenye utekelezaji wa sheria kwanini wasionee vyama vingine na kuipendelea CCM kwa sababu afisa mkubwa kabisa wa Polisi (nadhani ni RPC yule) anasema yeye ni CCM na...?

Wanabisha kitu gani hawa Polisi kwa ushahidi huu...?
 
Aisee🤔🤔

Very fantastic and amazing compilation...

Hawa maPolisi kwenye mikutano na vikao vya CCM wanakwendaga kufanya nini? Haya si ndiyo yanayolalamikiwa...?

Haya maneno ya Polisi kwenye vikao vya CCM si ndiyo tuhuma zinazowakabili?

Kwa ushahidi huu, hawa Polisi wakiwa kwenye utekelezaji wa sheria kwanini wasionee vyama vingine na kuipendelea CCM kwa sababu afisa mkubwa kabisa wa Polisi (nadhani ni RPC yule) anasema yeye ni CCM na...?

Wanabisha kitu gani hawa Polisi kwa ushahidi huu...?
Sio Polisi peke yao bali ni mfumo mzima DC Wakurugenzi wa Halmashauri na Manispaa RC Wakuu wa Mikoa. Mawaziri.

View: https://youtu.be/bsMYAk6cWaE?si=88NDHa4jJKMezzZ-
 
UHAINI ? Jinai ambayo adhabu yake ni Kunyongwa .

Kwa Tanzania mambo ni tofauti kabisa, Mwabukusi Alisema, nitawaongoza watanzania kwenye maandamano suala la DP World, eeehhh maajabu Polisi na DPP wakamfungulia Shitaka la UHAINI.


UHAINI imekua ni lugha laini na nyepesi sana kutajwa na DPP ,PT .



Kwa hakika Heri Nguo kuraruka kuliko AKILI.
Sasa huoni kuwa baada ya hapo na baada ya kuwa Rais wa TLS amekuwa akitii sheria bila shuruti?
 
Back
Top Bottom