Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Watu wameshachoshwa na kitendo cha CHADEMA kuyaweka rehani maisha ya wananchi.
Hivi kwenye Kijiji cha Ruaha hakuna wagombea wenye sifa hadi huyo wa CCM wampitishe kwa mizegwe bila kupingwa kwa kuwaengua mgombea wa chadema? CCM mnahatarisha Amani ya Taifa letu wajinga nyie, kwanini hamuwezi kushindana na chadema kwenye uwanja sawia? kwanini mnaazisha vurugu zisizokuwa za lazima kwa uwenyekiti wa kijiji tu? Nchi itakuwaje?