Anasema yeye ni zaidi ya kanuni sheria na taratibu za bunge sasa yeye cjui ana cheo ganieti ni kanuni gani ataitumia
Wanadhani watakuwa madarakani milele.. Wamuulize Sitta yuko wapiWapeleke upuuzi huko wanakanusha nini kwani mambo ya bunge yanafanyika sirini?
Sisi wananchi ni vipofu hatuoni kinacho endelea?
Hili bunge la sasa hivi halina maana yoyote
Mara nyingine ni bora kukaa kimya kuliko kuanika "ubashite" wenu
Tanzania na dunia nzima ilishuhudia Live rais akimpa spika maelekezo....
"Mimi ninamamlaka kuzidi yaliyoandikwa, nimepewa mamlaka na Mungu"Maelezo mazuri na yamejitosheleza ila wazee wa kupinga kila kitu wapotoshaji tu.
Hongera sana bunge kwa kutoa ufafanuzi mzuri mmeeleweka.
Kadiri wanavyojitokeza kumsafisha speaker na bunge ndio kadiri wanazidi kuuchafua huu muhimili.
Bunge ni muhimili unaojitegemea japo siku za karibuni limekuwa kama jumuia ya kile chama cha kijani. Hovyo sana
Hebu fafanua hapa umeelewa nini kwenye hilo tamko?