Ofisi ya Bunge yakanusha tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa kwake, ikiwemo kwamba linaendeshwa kibabe

Kwani Anko.masifa si alisema Spika alimuomba ushauri wa nani awe kwenye Kamati za Bunge
 
Kaka mkubwa hanaga siri linalomjia akilini linapitiliza nje. Siku ile nilimshangaa huyo jamaa akataja mpaka askali wake wa mwamvuli.
Sijawahi kuona kitu kama ile ya kuanika source ya data

Halafu wanakuja kutudanganya eti Bunge halijang'oka meno!
 
swali jingine mbunge akihitajika mbele ya kamati ni lazima akamatwe na polisi hata kama hajakataa kwamba hataenda

sawli jingine kutoa kauli ya kumsahihisha spika ni kosa ?
Acheni hizo
 
Speaker was bunge anatumwa na Maghufuli mbere ya kamera kama messenger. Shame, hili ndio bunge la ovyo kabisa tangu uhuru
 
Ofisi ya Bunge yakanusha tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa kwake siku za hivi karibuni, ikiwemo ya mamlaka yake kutekwa Serikali Kuu.

354b81d30bbf6b056ca64c7fca8be329.jpg

dae4e0665103bfe7e640a301754c259a.jpg

Kesi ya nyani unampelekea ngedere
 
Ofisi ya Bunge yakanusha tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa kwake siku za hivi karibuni, ikiwemo ya mamlaka yake kutekwa Serikali Kuu.

354b81d30bbf6b056ca64c7fca8be329.jpg

dae4e0665103bfe7e640a301754c259a.jpg

Natoa agizo kwako spika washughulikie wabunge wanaoropoka bungeni na wakitoka huku nitawashughulikia kwa kutumia vyombo vya dola.
 
Bunge haramu limepoteza hadhi yake kwa kukubali kudharauliwa na kutumika na dhalimu. Sasa ni ofisi ya wapiga madili na kuwaadhibu Wabunge wa upinzani kwa makosa ya kuwabambikia. BUNGE HARAMU.
....wanakuja na hoja mpya iliyoshindikana ya kuongeza muda wa kikomo cha uongozi wa nchi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anasema unatumiwa barua ya wito na ukikaidi unatafutwa na polisi.

saaa huyu mgonjwa mbona huwa anakurupuka tu bungeni fulani aletwe tena haraka hata kwa njia yeyote?
 
Nani anataka dhalimu aendelee kuwa madarakani!? Kama Watanzania tungepewa nafasi basi asilimia kubwa wangesema aondoke hata kesho kwa jinsi alivyochokwa.

....wanakuja na hoja mpya iliyoshindikana ya kuongeza muda wa kikomo cha uongozi wa nchi.
 
Yule supika alipopewa maagizo kuwashughulikia wapinzani ndani ya bunge mbona hawakuja hadharani kuweka msimamo kuwa bunge haliwezi kupangiea cha kufanya na muhimili mwingine?
Halafu wananchi wanajua kinachoendelea bungeni, hakuna namna mtawadanganya vingine.
 
Back
Top Bottom