Ofisi mpya: Anahitajika volunteer

Ofisi mpya: Anahitajika volunteer

ArsenalFC

Senior Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
117
Reaction score
35
Salaam wadau wa jukwaa hili na wanaJF kwa ujumla.

Kuna ofisi ndogo iko ktk mchakato wa kuanzishwa maeneo ya sinza Dar ya kutolea huduma hasa ushauri wa mambo ya afya n.k

Anahitajika volunteer mmoja mwenye ujuzi na elimu yeyote kati ya hizi: biashara, marketing, customer care and front office management, secretarial, hotel management.

kwa sasa ofisi hii mpya na haina uwezo wa kuajiri ila mtu aweza kufanya part time on volunteer basis na ofisi iko tayari kulipa at least nauli ya sh 10,000/- per day at most kwa miezi 3 kuanzia Jan 2015.

kama una ndugu au rafiki au jamaa mwenye nafasi tafadhali awasiliane nami kupitia barua pepe mtzhalisi02@gmail.com ikiwa ni pamoja na kutuma CV yake

asanteni sana
 
Mkuu safi sana.
lakini kama unavyojua,Graduates wengi kujitolea ndio issue kwa hapa kwetu,Kulalamika kwingiii.
Hapa kesho utaona mtu ana post nina degree na kazi sina.
Ukimuambia kujitolea kama hivyo kwanza ndio anaanza ku judge kwanini afanye kazi bure.
Na ndio maana hata hawa wazungu wanakuja mashuleni na mahospitalini lengo ni kutafuta uzoefu na kuinua CV zao.
Hapa kwetu ni janga.

Hope utapata kwa wenye uelewa na pia Idea nzuri,maana 10,000 ni pesa nyingi sana,maana wengine hawalipi kabisaaa
 
Mkuu safi sana.
lakini kama unavyojua,Graduates wengi kujitolea ndio issue kwa hapa kwetu,Kulalamika kwingiii.
Hapa kesho utaona mtu ana post nina degree na kazi sina.
Ukimuambia kujitolea kama hivyo kwanza ndio anaanza ku judge kwanini afanye kazi bure.
Na ndio maana hata hawa wazungu wanakuja mashuleni na mahospitalini lengo ni kutafuta uzoefu na kuinua CV zao.
Hapa kwetu ni janga.

Hope utapata kwa wenye uelewa na pia Idea nzuri,maana 10,000 ni pesa nyingi sana,maana wengine hawalipi kabisaaa
Lakini ameweka na vigezo sio kila graduate anahitajika hapo kaka
 
Me am very ready, kiukweli nahitaji experience, ningependa kujoin ua office... Let me send u my CV
 
mkuu mie tayari nimetuma naomba unifikirie nina bachelor ya business administration.mtaa mgumu sana ndugu.
 
salaam wadau wa jukwaa hili na wanajf kwa ujumla.

Kuna ofisi ndogo iko ktk mchakato wa kuanzishwa maeneo ya sinza dar ya kutolea huduma hasa ushauri wa mambo ya afya n.k

anahitajika volunteer mmoja mwenye ujuzi na elimu yeyote kati ya hizi: Biashara, marketing, customer care and front office management, secretarial, hotel management.

Kwa sasa ofisi hii mpya na haina uwezo wa kuajiri ila mtu aweza kufanya part time on volunteer basis na ofisi iko tayari kulipa at least nauli ya sh 10,000/- per day at most kwa miezi 3 kuanzia jan 2015.

Kama una ndugu au rafiki au jamaa mwenye nafasi tafadhali awasiliane nami kupitia barua pepe mtzhalisi02@gmail.com ikiwa ni pamoja na kutuma cv yake

asanteni sana

mi nishatuma email majibu hadi lini?
 
Back
Top Bottom