Nipe namba sake.Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.
Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Umesema kwamba? Ndoa sio ?
Tatizo watoto wadogo mnakimbilia kuowa kwa sababu vichupa kiunoni vimejaa mnadhani ndoa ni jambo la masihara.Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge.
Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambe
Hata ww ulioa kwa kutumia akili si ndio?Na hukuoa ili uje kupigania talaka.Sasa hapo Akili ku mkichwa
Hujui kwanini nasherehekea ukija kuoa utanielewaTatizo watoto wadogo mnakimbilia kuowa kwa sababu vichupa kiunoni vimejaa mnadhani ndoa ni jambo la masihara.
Kwenye bold wewe ungekuwa umeowa kweli mke ungesema namna ulivyopanga kuishi na watoto uliomzalisha huyo mtalaka wako Ila kwa sababu hujawahi kuowa uliokota mwanamke mtaani ukaweka ndani ndo maana umehitimisha kwa kwenda kulewa.
Hahaha. Unaoa sababu ya nyege zikiisha anageuka mhamasishaji wa vijana.Ndoa ni muhimu ila choice ya nani unaoa ndio ina matter mara nyingi. Ukilokota mwanamke kwa nyege zako tu bila kuwaza vizuri ndio balaa litakapoanzia.
Nyege hazijawahi muacha muoaji salama. 😆Operation kataa ndoa vijana wanateseka sana
Mama yako hakuwa na ndoa? Watoto wako wa kike hutamani wawe na ndoa? Wajukuu zako ungependa wazae tu kama paka?Ndoa ndoano kaka itakuchoma tu
Sawa mkuu mi sikupingi ila nimefanya homework yangu kutafta mwanamke ambaye ninammudu.Ndoa ndoano kaka itakuchoma tu
Asante sanaAsante sana nitajitunza karibu tushrehekee