GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,413
- 127,499
yap huyu kaeleza vizuri ukifika eneo husika pameandikwa ALFA LAUNDRY NDO HAPO HAPO LAKINI USIENDE BILA APPOINTMENT HUTAMWONA NA SIELEWI SAIVI BT KABLA CCM HAWAJAMZUIA KUONANA NA WATU WENYE KUHITAJI KUONANA NAE ILIKUWA INAKUCHUKUWA C CHINI YA MIEZI 2 HADI UPATE APPOINTMENT. MZEE YUKO BUSY MNO TENA ANA AKILI SANA HUYO MZEE MIE NILIWAHI KWENDA HAPO. THE MAN IS GENIOUS FRANKLY SPEAKING AN VIABLE & VERY CONSTRUCTIVE IDEAS [MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPE]- I WISH ONE DAY THE GUY MUNGU AMJALIE AFYA AWE PREZIDA WA TZ REAL TUTAENJOY COZ THE MAN IS TOUGH IN ACTION AND IDEAS.
muulize apson aliyekuwa mkuu wa usalama ambaye kwa sasa ni msatafu ndiye yupo kwenye kamati yake ya ushindi.
Lowassa ni kama Nabii, insha Allah atatuvusha
Kamanda ningekushauri kitu kimoja cha Msingi!!!
Kama unashida nae ya kiofisi kupatikana kwake ni Monduli,huko unampata bila ya tatxo lolote,but huwezi jua yuko wapi kwa wakati u want to meet him!!
Second kama unashida binafisi,nenda kwake Masaki karibu na ubalozi wa South Africa!! Utakutana na mapolisi getini eleza shida yako,utapewa utaratibu!!
No ya simu ya Lowasa au mlinzi wake zipo,zinapatikana,but kumbuka Lowasa ni mtu mkubwa kupokea simu yako si kilahisi kama tunavyofikiria!!
Na Nadhani Mlinzi Wake Mkuu Ni Mmoja Wa Waliokuwa Walinzi Mahiri wa Hayati Baba Wa Taifa Mzee ILA Kimaadili Siwezi Kumtaja ILA Hata Huyo ADC Ni Mtu Powa Mno Na Anaingilika Hivyo Ukimpata Huyo basi Ujue Umeshaonana Na Rais Edward Lowassa.
Lowassa ni kama Nabii, insha Allah atatuvusha
yap huyu kaeleza vizuri ukifika eneo husika pameandikwa ALFA LAUNDRY NDO HAPO HAPO LAKINI USIENDE BILA APPOINTMENT HUTAMWONA NA SIELEWI SAIVI BT KABLA CCM HAWAJAMZUIA KUONANA NA WATU WENYE KUHITAJI KUONANA NAE ILIKUWA INAKUCHUKUWA C CHINI YA MIEZI 2 HADI UPATE APPOINTMENT. MZEE YUKO BUSY MNO TENA ANA AKILI SANA HUYO MZEE MIE NILIWAHI KWENDA HAPO. THE MAN IS GENIOUS FRANKLY SPEAKING AN VIABLE & VERY CONSTRUCTIVE IDEAS [MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPE]- I WISH ONE DAY THE GUY MUNGU AMJALIE AFYA AWE PREZIDA WA TZ REAL TUTAENJOY COZ THE MAN IS TOUGH IN ACTION AND IDEAS.
acha umbumbu wewe kwani amna wakazi wa jimbo lake la monduli waishio dar , tena ndio ilitakiwa kwa kila mbunge afanye hivyo lakini wabunge wetu wengi wanategemea pesa za wananchiHuyu si ndio Mbunge wa Monduli, inakuwaje sasa office zake ziwe Dar? Au ndo yaleyale.
acha umbumbu wewe kwani amna wakazi wa jimbo lake la monduli waishio dar , tena ndio ilitakiwa kwa kila mbunge afanye hivyo lakini wabunge wetu wengi wanategemea pesa za wananchi
Lowasa ni mbunge. Namba zoote na email za wabunge na mawaziri ziko kwenye website ya bunge.
uwe mtundu kidogo na wewe. ninyi ndio mnauliza vyoo Dar
yap huyu kaeleza vizuri ukifika eneo husika pameandikwa ALFA LAUNDRY NDO HAPO HAPO LAKINI USIENDE BILA APPOINTMENT HUTAMWONA NA SIELEWI SAIVI BT KABLA CCM HAWAJAMZUIA KUONANA NA WATU WENYE KUHITAJI KUONANA NAE ILIKUWA INAKUCHUKUWA C CHINI YA MIEZI 2 HADI UPATE APPOINTMENT. MZEE YUKO BUSY MNO TENA ANA AKILI SANA HUYO MZEE MIE NILIWAHI KWENDA HAPO. THE MAN IS GENIOUS FRANKLY SPEAKING AN VIABLE & VERY CONSTRUCTIVE IDEAS [MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPE]- I WISH ONE DAY THE GUY MUNGU AMJALIE AFYA AWE PREZIDA WA TZ REAL TUTAENJOY COZ THE MAN IS TOUGH IN ACTION AND IDEAS.
Ningekuwa nakufahamu ningekupa namba yake kabisaa, naogopa kwasababu kuna kijana wa Udsm aliwahi kuharibu.
acha umbumbu wewe kwani amna wakazi wa jimbo lake la monduli waishio dar , tena ndio ilitakiwa kwa kila mbunge afanye hivyo lakini wabunge wetu wengi wanategemea pesa za wananchi
muulize apson aliyekuwa mkuu wa usalama ambaye kwa sasa ni msatafu ndiye yupo kwenye kamati yake ya ushindi.